ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Walioomba maridhiano ni Chadema ila Sasa wanataka wavuke mstari .
Pili Chadema Kila mtu ni kambale sio chama Cha kitaasisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioomba maridhiano ni Chadema ila Sasa wanataka wavuke mstari .
Ndo mjifunze kubalance shobo dundoCHADEMA ijitoe kwenye hayo maridhiano ya kitapeli.
Mamlaka ya Rais Tz hayana Mpaka....Hawa wahuni wanataka Samia aingilie Uhuru wa mahakama na Bunge? Haya majitu yasiyojua mihimili haiingiliani ndio yanataka yakabidhiwe nchi? Sitashangaa yakitaka Mbowe awe Rais, awe spika, na awe Jaji Mkuu
Mbona unakuwa msahaulifu kabla ya kuzeeka? Kama mwendazake aliweza kuwa rais, spika, igp, polisi na asiyejulikana wengine watashindwaje?Hawa wahuni wanataka Samia aingilie Uhuru wa mahakama na Bunge? Haya majitu yasiyojua mihimili haiingiliani ndio yanataka yakabidhiwe nchi? Sitashangaa yakitaka Mbowe awe Rais, awe spika, na awe Jaji Mkuu
Ngoma ya watoto huwa haikeshi, Hii ni trailer tu Bado movie kamili 2024, stay tuned
Bango jepesi sana hilo.....
Nimekusoma hapa na kuelewa unachosema.
Uunganeni na Ccm tu mjenge nchi,upinzani wenu bado Sana
Mchukueni Mbowe basi aje huko CCM, Si mnasema ana siasa safi.ukichaa plus uchawa=wewe
wanamgambo wa cdm ukisema ukweli kama huu wanachukiaBango jepesi sana hilo.....
BAWACHA pasi na kuheshimu KESI iliyoko mahakamani [emoji1787][emoji1787]wanaandamana kutaka COVID-19 watimuliwe bungeni.....
BAWACHA kwa papara bwanaa....
Lema yuko huru....anatumbua stahiki zake alizonyimwa huko nyuma.....
Tundu Lissu anazunguka kwa amani kabisa.....amelipwa yale mamia ya mamilioni ya bunge....
Mbowe ana amani .....ujana umemrudia ameagana na "Segerea".....si mhaini ,si gaidi....maelfu ya ekari ya mashamba yake yako tena mikononi mwake.....ya Billicanas yatafidiwa.....AISHI HOTEL kunang'aa....kijana mwenzetu Ole Sabaya HATOKWENDA KAMWE KUWASUMBUA....Hai inabubujika furaha ,amani ,utulivu na matumaini.....
CCM hatuhitaji tena zile "sajili" kama za mbunge "mvua nguo" bungeni [emoji1787][emoji1787]
Hakika mh.SSH ni zaidi ya Rais....
Eti BAWACHA hawayaoni yote haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#MamaKaja[emoji2956]
#SiempreJMT[emoji120]