Haya ngoja tuone!Bahati mbaya huoni mbeleni nini kinakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ngoja tuone!Bahati mbaya huoni mbeleni nini kinakuja
Hakuna kiongozi wa sasa niliyemsifia kwenye uzi wanguChawa Mpya
Unahakika ccm ataendelea kutawala tuTukiwa bado tunaongozwa na chama hiki hiki kinachotawala?
Mkuu hizo ni ndoto zako za mchana!
Nachojua jeshi letu ni la sita dunia kwa uimara 😂😂😂😂🙌hata mie nashangaa!! Poor Brain dronedrake
watu wanalala magetoni wanamtungua mtu yupo Amerika na wengine wanawaza kupigana face to faceNachojua jeshi letu ni la sita dunia kwa uimara 😂😂😂😂🙌
Na kuvunja matofari 😂😂😂😂😂😂watu wanalala magetoni wanamtungua mtu yupo Amerika na wengine wanawaza kupigana face to face
Ahsante na nashukuru sana kama unalingine unarusiwa kulitoaHapo saa hizi umepaukaaaaaaaa na suruali yako ya kitambaa ya kijani na mokasini zimeishaaaaaaa soli za brauni hazijapigwa kiwi tangu may mosi 2022 na shati la kitenge kubwaaaaaa limekuvaa la zambarau na maua ya njano na bahasha ya kaki una vyeti vyako vya sekondari kantalamba na cheti cha ualimu mkwawa University iringa umezungukaaaaàa ajira imekataa kabisa. Umetulia hapo kwenye ka tuition center unapiga tuition kuanzia cheke chea hadi University unafundisha mtu akijichanganya unaiona Tanzania superpower au vipi