Kwa bara la Afrika Tanzania ni super power na mzaliwa wa kwanza kwa haki

Kwa bara la Afrika Tanzania ni super power na mzaliwa wa kwanza kwa haki

Hapo saa hizi umepaukaaaaaaaa na suruali yako ya kitambaa ya kijani na mokasini zimeishaaaaaaa soli za brauni hazijapigwa kiwi tangu may mosi 2022 na shati la kitenge kubwaaaaaa limekuvaa la zambarau na maua ya njano na bahasha ya kaki una vyeti vyako vya sekondari kantalamba na cheti cha ualimu mkwawa University iringa umezungukaaaaàa ajira imekataa kabisa. Umetulia hapo kwenye ka tuition center unapiga tuition kuanzia cheke chea hadi University unafundisha mtu akijichanganya unaiona Tanzania superpower au vipi
 
Hapo saa hizi umepaukaaaaaaaa na suruali yako ya kitambaa ya kijani na mokasini zimeishaaaaaaa soli za brauni hazijapigwa kiwi tangu may mosi 2022 na shati la kitenge kubwaaaaaa limekuvaa la zambarau na maua ya njano na bahasha ya kaki una vyeti vyako vya sekondari kantalamba na cheti cha ualimu mkwawa University iringa umezungukaaaaàa ajira imekataa kabisa. Umetulia hapo kwenye ka tuition center unapiga tuition kuanzia cheke chea hadi University unafundisha mtu akijichanganya unaiona Tanzania superpower au vipi
Ahsante na nashukuru sana kama unalingine unarusiwa kulitoa
 
Back
Top Bottom