Kwa Chakula kama hiki wanaume wa Dar mtakuwa na nguvu za kiume? Mkongo nao umepigwa stop

Kwa Chakula kama hiki wanaume wa Dar mtakuwa na nguvu za kiume? Mkongo nao umepigwa stop

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
20230628_205225.jpg
 
Ugali umeingiza mjini sana siku hizi..

Ugali wenye nguvu haunaga mbwmbwe kiasi hicho
 
Umejiona mjanja kusema wanaume wa Dar..🚮🚮
 
nguvu za kiume utazipata vipi?.
hospitali dawa
maji ya kunywa dawa
vyakula vyote dawa
uchawi nao dawa
maisha dawa

utazipata kweli zote dawa ni simu nilizotaja
 
Matatizo ya Afya ya akili yapo

Kwenye maisha mwanaume husifiwa kwa pesa alizo nazo na si wanawake aliolala nao
 
Back
Top Bottom