M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Jun 28, 2023 #1
R-K-O JF-Expert Member Joined Jun 27, 2023 Posts 482 Reaction score 2,178 Jun 28, 2023 #2 Ugali umeingiza mjini sana siku hizi.. Ugali wenye nguvu haunaga mbwmbwe kiasi hicho
La WIZA JF-Expert Member Joined Oct 9, 2018 Posts 221 Reaction score 497 Jun 28, 2023 #3 Daaah! Mimi wa mikoani, i got nothin' to say..
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jun 28, 2023 #4 Muuza Kangala said: View attachment 2672222 Click to expand... Sikia ndugu Muuza Kangara,kama mkongo kapigwa stop ,ni kwakuwa lipo vumbi la singidani🏃🏃. Hivyo mkongo tupa kuleee🤸🤸
Muuza Kangala said: View attachment 2672222 Click to expand... Sikia ndugu Muuza Kangara,kama mkongo kapigwa stop ,ni kwakuwa lipo vumbi la singidani🏃🏃. Hivyo mkongo tupa kuleee🤸🤸
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,282 Reaction score 117,244 Jun 28, 2023 #5 Muuza Kangala said: View attachment 2672222 Click to expand... Point hapa ni udogo wa chakula?? Kama mtu anakula matunda Sana hakuna shida...unakula hapo ukitoka unakula tikiti kubwa zima
Muuza Kangala said: View attachment 2672222 Click to expand... Point hapa ni udogo wa chakula?? Kama mtu anakula matunda Sana hakuna shida...unakula hapo ukitoka unakula tikiti kubwa zima
Dexta JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 2,096 Reaction score 5,211 Jun 28, 2023 #6 Umejiona mjanja kusema wanaume wa Dar..🚮🚮
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Jun 28, 2023 #7 nguvu za kiume utazipata vipi?. hospitali dawa maji ya kunywa dawa vyakula vyote dawa uchawi nao dawa maisha dawa utazipata kweli zote dawa ni simu nilizotaja
nguvu za kiume utazipata vipi?. hospitali dawa maji ya kunywa dawa vyakula vyote dawa uchawi nao dawa maisha dawa utazipata kweli zote dawa ni simu nilizotaja
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Jun 28, 2023 #8 Matatizo ya Afya ya akili yapo Kwenye maisha mwanaume husifiwa kwa pesa alizo nazo na si wanawake aliolala nao
Matatizo ya Afya ya akili yapo Kwenye maisha mwanaume husifiwa kwa pesa alizo nazo na si wanawake aliolala nao