Kwa Chuki zetu, Wivu wetu na Roho mbaya zetu Waswahili tutamsema sana, ila kwa sasa Tanzania hakuna Kipa bora na Mahiri kama Aishi Salum Manula

Kwa Chuki zetu, Wivu wetu na Roho mbaya zetu Waswahili tutamsema sana, ila kwa sasa Tanzania hakuna Kipa bora na Mahiri kama Aishi Salum Manula

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nampongeza sana Mshambuliaji Simon Msuva kwa Kufunga Goli zuri, tamu na la Viwango ambalo limetupa Alama Muhimu leo.

Nawapongeza mno Wachezaji wote wa Kikosi cha Taifa Stars kwa Mchezo mzuri walioucheza leo na hadi kutupa Ushindi na kuna Kitu nimegundua kuwa ukitaka Taifa Stars ishinde basi tishia kama Unaisusa Timu Kutoishangilia na Kuwachamba pia Wachezaji ( kama nilivyofanya Mightier hapa JamiiForums Jana ) na watakaza na kujitahidi hadi watashinda.

Nilipongeze pia Bench la Ufundi linaloongozwa na Kocha Paulsen ( anayewajua vilivyo Wachezaji wengi wa Tanzania kwani 75% ya wanaong'aa sasa aliwafundisha Timu za Vijana ) kwa Kupokea Ushauri na Kufanyia Kazi lawama zetu ambazo zimezaa Matunda na leo tumeshinda.

Mightier sitokuwa na Furaha kama leo nisipompa Pongezi zangu nyingi zaidi Kipa namba Moja Aishi Salum Manula kwa Kiwango Kikubwa alichokionyesha na jinsi ambavyo kila Siku anaimarika na Kutuumbua wale tunaomchukia na Kumlaumu kila Siku ( hasa Mashabiki wa Yanga SC )

Kweli Simon Msuva katufungia Goli Muhimu na katuweka patamu ( pazuri ) ila Kwangu Mimi Mightier ( na Sikulazimishi unikubalie ) Mchezaji Bora wa Mchezo ( Man of the Match ) ni Golikipa wa Taifa Stars na Simba Sports Club Aishi Salum Manula.

Hongereni Taifa Stars na Heko Manula.
 
Na Watanzania tulivyo na Tunu ya Unafiki huwa tunawahi humu Mitandaoni kuja Kumsema na Kumdhihaki Kijana wa Watu, ila akifanya vyema kama leo huwa tunajificha na kujifanya kama vile hatujui Kinachoendelea na Kujitetea kwa kusema kuwa ni Wajibu wake Kudaka vizuri kama Golikipa.
 
Wewe kiande, walioshinikiza Manula hafai kuwa langoni mpaka kocha akabidi amuweke benchi na nafasi yake kuchukuliwa ns Kakolanya walikuwa ni washabiki wa Yanga? Yaani mishabiki ya Simba ni minafiki sana sijapata kuona. Wakipangiwa Mugalu wanapiga kelele hafai tunamtaka Kagere na mkipangiwa Kagere mnamkataa mnamtaka Mugalu na kumuona Kagere ovyo. Ndio hayo hayo kwa Manula, isitokee kosa kidogo hata kama sio lake utasikia ndio makosa yake hayo kila siku magoli hayo hayo hajirekebishi. Akapangwa Kakolanya hakupata hata clean sheet hata moja lakini mashabiki kimya hawamsemi zaidi utasikia pale beki fulani ndio kasababisha. Manula amekuwa tu na chuki kwa wana Simba lakini ukiangalia idadi ya magoli aliyoruhusu vs saves za hatari anazofanya. Utagundua kafanya saves nyingi kuliko Magoli aliyofungwa. Mashabiki wa Simba acheni unafiki
 
Nampongeza sana Mshambuliaji Simon Msuva kwa Kufunga Goli zuri, tamu na la Viwango ambalo limetupa Alama Muhimu leo.

Nawapongeza mno Wachezaji wote wa Kikosi cha Taifa Stars kwa Mchezo mzuri walioucheza leo na hadi kutupa Ushindi na kuna Kitu nimegundua kuwa ukitaka Taifa Stars ishinde basi tishia kama Unaisusa Timu Kutoishangilia na Kuwachamba pia Wachezaji ( kama nilivyofanya Mightier hapa JamiiForums Jana ) na watakaza na kujitahidi hadi watashinda.

Nilipongeze pia Bench la Ufundi linaloongozwa na Kocha Paulsen ( anayewajua vilivyo Wachezaji wengi wa Tanzania kwani 75% ya wanaong'aa sasa aliwafundisha Timu za Vijana ) kwa Kupokea Ushauri na Kufanyia Kazi lawama zetu ambazo zimezaa Matunda na leo tumeshinda.

Mightier sitokuwa na Furaha kama leo nisipompa Pongezi zangu nyingi zaidi Kipa namba Moja Aishi Salum Manula kwa Kiwango Kikubwa alichokionyesha na jinsi ambavyo kila Siku anaimarika na Kutuumbua wale tunaomchukia na Kumlaumu kila Siku ( hasa Mashabiki wa Yanga SC )

Kweli Simon Msuva katufungia Goli Muhimu na katuweka patamu ( pazuri ) ila Kwangu Mimi Mightier ( na Sikulazimishi unikubalie ) Mchezaji Bora wa Mchezo ( Man of the Match ) ni Golikipa wa Taifa Stars na Simba Sports Club Aishi Salum Manula.

Hongereni Taifa Stars na Heko Manula.
Naongea kama mpenzi wa mpira nisiye na KISUNUNU....

Aishi Salum Manula atabaki kuwa kipa wangu bora toka nianze kuangalia mpira wa bongo......

Nilipokuwa mdogo nilisikia Mohamed Mwameja alikuwa balaa ila sikuwahi kumuona akicheza.....

Aishi anabaki kuwa ALAMA kwa makipa wa kizazi hiki.....hakuna Kama huyo MWAMBA wa Kilombero....👊💪👍😍

Nimemshuhudia leo AKITUBEBA mgongoni mwake......bila ya yeye ingekuwa Benin 6-Msuva 1.......

Kongole kwake....MWENYEZI MUNGU azidi kumpa mafanikio na kumlinda na kila husda na shari aaaamin aaaamin🙏

#DaimaMbeleNyumaMwiko
#1935ForEver💪
 
Nampongeza sana Mshambuliaji Simon Msuva kwa Kufunga Goli zuri, tamu na la Viwango ambalo limetupa Alama Muhimu leo.

Nawapongeza mno Wachezaji wote wa Kikosi cha Taifa Stars kwa Mchezo mzuri walioucheza leo na hadi kutupa Ushindi na kuna Kitu nimegundua kuwa ukitaka Taifa Stars ishinde basi tishia kama Unaisusa Timu Kutoishangilia na Kuwachamba pia Wachezaji ( kama nilivyofanya Mightier hapa JamiiForums Jana ) na watakaza na kujitahidi hadi watashinda.

Nilipongeze pia Bench la Ufundi linaloongozwa na Kocha Paulsen ( anayewajua vilivyo Wachezaji wengi wa Tanzania kwani 75% ya wanaong'aa sasa aliwafundisha Timu za Vijana ) kwa Kupokea Ushauri na Kufanyia Kazi lawama zetu ambazo zimezaa Matunda na leo tumeshinda.

Mightier sitokuwa na Furaha kama leo nisipompa Pongezi zangu nyingi zaidi Kipa namba Moja Aishi Salum Manula kwa Kiwango Kikubwa alichokionyesha na jinsi ambavyo kila Siku anaimarika na Kutuumbua wale tunaomchukia na Kumlaumu kila Siku ( hasa Mashabiki wa Yanga SC )

Kweli Simon Msuva katufungia Goli Muhimu na katuweka patamu ( pazuri ) ila Kwangu Mimi Mightier ( na Sikulazimishi unikubalie ) Mchezaji Bora wa Mchezo ( Man of the Match ) ni Golikipa wa Taifa Stars na Simba Sports Club Aishi Salum Manula.

Hongereni Taifa Stars na Heko Manula.
😍
 
Naongea kama mpenzi wa mpira nisiye na KISUNUNU....

Aishi Salum Manula atabaki kuwa kipa wangu bora toka nianze kuangalia mpira wa bongo......

Nilipokuwa mdogo nilisikia Mohamed Mwameja alikuwa balaa ila sikuwahi kumuona akicheza.....

Aishi anabaki kuwa ALAMA kwa makipa wa kizazi hiki.....hakuna Kama huyo MWAMBA wa Kilombero....👊💪👍😍

Nimemshuhudia leo AKITUBEBA mgongoni mwake......bila ya yeye ingekuwa Benin 6-Msuva 1.......

Kongole kwake....MWENYEZI MUNGU azidi kumpa mafanikio na kumlinda na kila husda na shari aaaamin aaaamin🙏

#DaimaMbeleNyumaMwiko
#1935ForEver💪
Mali tena..?
 
Yes Mkuu miaka ya 80 -90 na kina Hasani Hafif ,Ramadhani Kimti, Thomas Kipese,Hussein Masha ,Gebo Peter,Keneth Mkapa,Athumani China etc
Oooo hongera kwa kuwaona hao jamaa....nimewasoma katika historia na magazeti yaliyohifadhiwa na wazazi wangu....

Daaah vya kale dhahabu mno....

Kuna mmoja aliitwa Hussein Masha nilikata picha zake na kuweka katika albamu yangu 🤣🤣
 
Wewe kiande, walioshinikiza Manula hafai kuwa langoni mpaka kocha akabidi amuweke benchi na nafasi yake kuchukuliwa ns Kakolanya walikuwa ni washabiki wa Yanga? Yaani mishabiki ya Simba ni minafiki sana sijapata kuona. Wakipangiwa Mugalu wanapiga kelele hafai tunamtaka Kagere na mkipangiwa Kagere mnamkataa mnamtaka Mugalu na kumuona Kagere ovyo. Ndio hayo hayo kwa Manula, isitokee kosa kidogo hata kama sio lake utasikia ndio makosa yake hayo kila siku magoli hayo hayo hajirekebishi. Akapangwa Kakolanya hakupata hata clean sheet hata moja lakini mashabiki kimya hawamsemi zaidi utasikia pale beki fulani ndio kasababisha. Manula amekuwa tu na chuki kwa wana Simba lakini ukiangalia idadi ya magoli aliyoruhusu vs saves za hatari anazofanya. Utagundua kafanya saves nyingi kuliko Magoli aliyofungwa. Mashabiki wa Simba acheni unafiki
Nani Kaubaka bila Condom huo Ubongo wako mbovu?
 
Oooo hongera kwa kuwaona hao jamaa....nimewasoma katika historia na magazeti yaliyohifadhiwa na wazazi wangu....

Daaah vya kale dhahabu mno....

Kuna mmoja aliitwa Hussein Masha nilikata picha zake na kuweka katika albamu yangu 🤣🤣

Hahaa wazazi wako wapo vizuri kwa kuhifadhi kumbukumbu ,hao wote nimewashuhudia uwanjani live ,enzi hizo luninga ni issue.
 
Back
Top Bottom