mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Ndiyo tabia zenuNikiwa kisogoni kwako 🤣🤣
Kufi*ra wenzako
Jitu Zima ovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tabia zenuNikiwa kisogoni kwako 🤣🤣
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote,kukosa utulivu na kurupuka mara Kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake ,ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni,kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni WA kumsamehe na kumhudumia,hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika,just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View: https://twitter.com/ayubu_madenge/status/1819472333155061897?t=G1kRCp5j0TIS0CaR7EkHOw&s=19
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Mkuu hii na ya ma Abdul ipi mbaya 😂😂aliwaza zake awe muhudumu WA ndege Alisoma wapi vile😂😂😂Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Kazi mnayo mliokulia Masaki na OusterbayNilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Atuonyeshe cv nzuri za makonda,nape,ma Abdul na aseme akina nick wapili wamezaliwa wapi?Tatizo ni nini? Hizo si hustling kila mtu anapitia kwenye maisha kufikia anapotaka?
Kanywe chai bro ounguza kelele zisizo za msingi
Hatuangalii Elimu yako bali ni Uwezo na Uthubutu wa Kimajukumu na Kiutendaji. Kama Elimu ndiyo Utendaji inakuwaje Benki Kuu kuna PhD's zaidi ya 19 lakini bado tu Uchumi wa nchi Unademadema na kuna Madudu makubwa yanatendeka huko? Serikali ina Wanasheria Nguli ( Wasomi na Wabobezi kabisa ) lakini ni kwanini bado hao hao wanaingia Mikataba ya akina Mangungo na Kuingiza nchi katika Madeni ya kila aina na ya kila Majina?Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Uko vizuri MuungwanaHatuangalii Elimu yako bali ni Uwezo na Uthubutu wa Kimajukumu na Kiutendaji. Kama Elimu ndiyo Utendaji inakuwaje Benki Kuu kuna PhD's zaidi ya 19 lakini bado tu Uchumi wa nchi Unademadema na kuna Madudu makubwa yanatendeka huko? Serikali ina Wanasheria Nguli ( Wasomi na Wabobezi kabisa ) lakini ni kwanini bado hao hao wanaingia Mikataba ya akina Mangungo na Kuingiza nchi katika Madeni ya kila aina na ya kila Majina?
Jitahidi sana ujifunze Kufikiri na kujenga Hoja zenye Mantiki hasa uwapo hapa JamiiForums ili tusiendelee Kukudharau.
Nazungumzia tabia na hulka yake sio ElimuHatuangalii Elimu yako bali ni Uwezo na Uthubutu wa Kimajukumu na Kiutendaji. Kama Elimu ndiyo Utendaji inakuwaje Benki Kuu kuna PhD's zaidi ya 19 lakini bado tu Uchumi wa nchi Unademadema na kuna Madudu makubwa yanatendeka huko? Serikali ina Wanasheria Nguli ( Wasomi na Wabobezi kabisa ) lakini ni kwanini bado hao hao wanaingia Mikataba ya akina Mangungo na Kuingiza nchi katika Madeni ya kila aina na ya kila Majina?
Jitahidi sana ujifunze Kufikiri na kujenga Hoja zenye Mantiki hasa uwapo hapa JamiiForums ili tusiendelee Kukudharau.
Anatakiwa ajitahidi kubehaveKazi mnayo mliokulia Masaki na Ousterbay
Unaonaje tabia na hulka zake na za Mwabukusi wa uchochoroni?Mkuu hii na ya ma Abdul ipi mbaya 😂😂aliwaza zake awe muhudumu WA ndege Alisoma wapi vile😂😂😂
Yanasaidia ila wewe ndio hujui faida yakeHaya yote uliyoandika hayasaidii kitu this time. Yanaonyesha tu kwamba hakuwa chaguo lako. Ukisoma studies mbalimbali kinachotakiwa katika dunia ya leo, besides hard (technical skills) ni soft (employability) skills. Hizi ni skills employers are interested in. Na employers wa Mwabukusi wameona anatosha na wale ambao walikuwa chaguo lako unfortunately wamezidiwa naye. Huenda unataka kuonyesha kuwa kusoma Open University of Tanzania (OUT) siyo kusoma, eti? Digrii yangu ya LLB yangu nimesoma OUT na ninajua how demanding it is. Kwenye conventional universities students are instructed, OUT follows student-based learning. Kama kwenye conventional universities tunaweza kuwalinganisha wanafunzi na kuku wa kufugwa (kuku wanaolishea), OUT ni kuku wa kienyeji (wanaojitafutia chakula wenyewe) na nadiriki kusema mchuzi wao ni mzuri zaidi. Mtu hawezi kutamba mbele yangu simply because amesoma kwenye conventional university na mimi nimesoma kwenye distance learning university. What matters is what the student achieves and I'm proud of my OUT. Imenifundisha kupambana na kufanikiwa as far as education is concerned.
Haifuti historia ya maisha yake na athari za kimalezi kwenye tabia na hulka yake
T.L.S imepata rais wa hovyo kabisa
Sawa, hebu onyesha hizo faida. Labda tuanzie hapo.Yanasaidia ila wewe ndio hujui faida yake
Kwa nini tuteseke? Jikite kwenye hoja
Hujatoa hoja, unataka mtu ajikite na hoja!Kwa nini tuteseke? Jikite kwenye hoja
Kama kawaida yangu na ndiyo maana unaona NACHUKIWA na WAPUMBAVU wengi kwani wanajua kuwa IQ yangu ina BARAKA zote za Baba Muumba Mwenyezi Mungu na ndiyo maana akaniumba na TUNU / SHANI zangu Tukuka Kuu Nne ( 4 ) za......Uko vizuri Muungwana