Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Ulitaka azaliwe ZOysterbay? Unajua Nyerere alikozaliwa? Unajua Magufuli alikozaliwa? Topic ya kijinga sana. Ungekuwa na uelewa ungempongeza kwa kupambana kutoka zero tp hero. Sasa ni rais wa TLS unasemaje na waonaje? Wivu mbaya sana
 
Hongera Mwabukusi umewashinda wote waliojaribu kukwamisha ndoto yako. Ushindi wake ni kielelezo cha kwamba binadamu tunapanga lakini Mungu ndiye anayeamua.
 
Itoshe kusema, humfahamu kabisa huyo mwamba. Uliza alikuwa partner wa law firm gani Arusha alafu ujiulize ilikuwaje kisha ukae kwa kutulia.
 
Lazma alisoma shule za serikali ambazo enzi zile walimu hakuna humuoni mwaka mzima, tofauti na sasa shule walimu tele wanafunzi wanatafuniwa material spoon feeding tele plus material mtandaoni una download unachotaka, kutopata ufaulu wa juu kunategemea mazingira ya elimu siyo akili tu.
 
wengi wetu tumetokea maisha kama hayo, tumeishi maisha magumu, lakini Mungu ametusaidia. ninyi wa geti kali hamjui maisha mbona, na wengi wenu mnavaa pampas hadi ukubwani.
Wengi wao hata marinda hawana hata kwa scanning electromicrograph
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Hoya hueleweki unatabia ya K akisimama ipo mbele akichuchumaa inatazama chini akiinama ipo nyuma!
 
Nazungumzia tabia na hulka yake sio Elimu
Tabia ya kujigeuza chura unaionaje!
Haifuti historia ya maisha yake na athari za kimalezi kwenye tabia na hulka yake
Kumbe mtu akizaliwa Arusha hatakiwi kua kiongozi? Akizaliwa masikini hatakiwi kua kiongozi? Siku moja nliona msigwa anasimulia historia yake ametoka songea kijijini maisha ya kimaskini kwahiyo hafai kua alipo leo
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Na bado mtateseka sana mbwa nyinyi
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Kuna misisiemu imesoma hadi Harvard huko yamewahi isaidia namna gani jamii na nchi kwa ujumla?
 
Back
Top Bottom