Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Acha tabia za fitna za chamani kwako,leo sii jana na juzi sii jana.Waambie na wenzio wote wanaomdhihaki Mungu baada ya kufanya uovu kwa lengo la kuwadhulumu wengi kwa manufaa ya kikundi cha wachache,tena naweza sema wezi wachache.
 
Haifuti historia ya maisha yake na athari za kimalezi kwenye tabia na hulka yake
Suala la bandari alichemka sana. Kaishitaki kampuni ya kimataifa kwa kutumia sheria za ndani ya nchi.

Ni mtupu tu, kwa hao wanasheria vijana waliojaa whatsapp na instagram anaonekana ni superstar kwa wale wenye umri uliosogea na wenye kuyajua masuala, huyu jamaa ni papai tu.
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

what the f#ck,,,,
so mtu kuwa dereva wa daladala ni kazi ya kihuni....
Mtu ambaye hakukata tamaa ya kujiendeleza kielimu unamuita mhuni....
Yaan mtu ambaye alidunduliza pesa ili kupata ada ya kujilipia chuo......

Weka wewe CV yako ,tuone ulichompita ....Kama wajiamini weka yako.
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

unamjua SSH kwa undani? Usingesndika haya
 
Kwa nini tuteseke? Jikite kwenye hoja
Kwa hoja gani ya kujikita hapo? Silly question deserve a silly comment, mmehangaika kumzuia mmeshindwa sasa mmekuja na hoja za mipasho ya taarabu mara ya mwisho kusikika enzi za akina Hadija Kopa, mmeshikwa pabaya
 
Wewe uliekulia maisha ya Kishua , Mboga saba, Ukasoma IST na umetokea kwenye familia ya Kitajiri . umefika wapi na nani anayekujua hapa Tanzania?? Acha roho mbaya za Kishamba . Only God determines our destiny. Haijalishi tulizaliwa, tukakulia, tukalelewa wapi.
Hili lichawa lishamba sana...halijielewi.
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

He does not have premafacie and Res ipsa loquitur arguments in support his case in court. Kapitwa kwa kura 400+...
 
Sijajua ulitaka kuandika nini hapo?

Kusomq OUT?
Kuwa dereva daladala ?
Kukulia Arusha mtaani?

Ukisema degree ya OUT Mimi naona ni degree bora maana unajitafutia resources za wewe kufikia lengo.

Ukisema kuwa dereva wa daladala hii ni moja ya kazi nzuri watu wanaendesha maisha yako kupitia hii Kazi .

Kuhusu Kutokufaulu vizuri form six - kufaulu ni kufaulu aliyepata A kafaulu na aliyepata C kafaulu pia.

Unapoandika jambo tumia ufahamu mzuri hii itakusaidia kutopuuzwa na kuwa MTU ambaye hana content.

NB :- MTU yeyote aliyepitia mapito na magumu huyo huwa anafanikiwa Sana MAISHA endapo asipokata tamaa
 
Huyu Mwabukusi kachaguliwa na wanasheria vijana wadogo kiumri, kachaguliwa kishabiki.

Hiyo elimu yake ni ushahidi wa kwanini alishindwa kesi ya TPA suala la DPW. Shule ndogo ya sheria.

Lakini huwezi kuwalaumu wanasheria waliompa kura, wengi wao ni hawa watoto wa instagram, wanasheria vijana wasio na maono mapana juu ya uendeshaji wa nchi.
Wewe utakuwa juha, watu waliomuunga mkono wako akina Tunda Lissu, angalia orodha ya wanasheria wake ni vijana watupu?

Utakuwa juha uliyekasirishwa baada ya njama zote mlozofanya za kumzuia kugombea kushindwa
 
Anairudisha nchi kwenye uchumi wa juu kati kwa kasi kubwa. Samia kwa kasi hii atakuja kuwa rais aliyefanikiwa kuliko wote watano waliomtangulia.

Ni msikivu mwenye utulivu mkubwa wa kufanya maamuzi bila kukurupuka.
Tatizo la msiojiamini, kwanza mnaweka majina yenu halafu mnasapoti ujinga ili mpate teuzi, tunazungumzia wakili msimi Mwambukusi kushinda kwa kishindo urais wa TLS, wewe unarelate na aliye ikilu upate teuzi! Pathetic fool
 
Back
Top Bottom