Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Hatari snπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ulitaka azaliwe ZOysterbay? Unajua Nyerere alikozaliwa? Unajua Magufuli alikozaliwa? Topic ya kijinga sana. Ungekuwa na uelewa ungempongeza kwa kupambana kutoka zero tp hero. Sasa ni rais wa TLS unasemaje na waonaje? Wivu mbaya sanaNilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake π€£π€£π€£π€£π€£
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Meanwhile ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6
Upeo wako mdogo sana, punguza makasiriko. Unaijua background ya Waziri Simbachawene?Haifuti historia ya maisha yake na athari za kimalezi kwenye tabia na hulka yake
sasa hapo Hoja iko wapi jombaa??Kwa nini tuteseke? Jikite kwenye hoja
Wengi wao hata marinda hawana hata kwa scanning electromicrographwengi wetu tumetokea maisha kama hayo, tumeishi maisha magumu, lakini Mungu ametusaidia. ninyi wa geti kali hamjui maisha mbona, na wengi wenu mnavaa pampas hadi ukubwani.
Hoya hueleweki unatabia ya K akisimama ipo mbele akichuchumaa inatazama chini akiinama ipo nyuma!Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake π€£π€£π€£π€£π€£
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Meanwhile ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6
Me nadhani wewe ndo WA uchochoroni unae hisi viongozi hawatakiwi kuhojiwa kwamba wako perfectly kwenye kila kituUnaonaje tabia na hulka zake na za Mwabukusi wa uchochoroni?
Tabia ya kujigeuza chura unaionaje!?Nazungumzia tabia na hulka yake sio Elimu
Tabia ya kujigeuza chura unaionaje!Nazungumzia tabia na hulka yake sio Elimu
Kumbe mtu akizaliwa Arusha hatakiwi kua kiongozi? Akizaliwa masikini hatakiwi kua kiongozi? Siku moja nliona msigwa anasimulia historia yake ametoka songea kijijini maisha ya kimaskini kwahiyo hafai kua alipo leoHaifuti historia ya maisha yake na athari za kimalezi kwenye tabia na hulka yake
Na bado mtateseka sana mbwa nyinyiNilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake π€£π€£π€£π€£π€£
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Meanwhile ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6
Kuna misisiemu imesoma hadi Harvard huko yamewahi isaidia namna gani jamii na nchi kwa ujumla?Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?
Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.
Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.
Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake π€£π€£π€£π€£π€£
But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291
My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati
Meanwhile ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6
Acha hasira! Kutokumkubali jamaa sio ujinga!Utakuwa wakili wa chumbani kwa hawara yako, mawakili wajinga namna yako wanaowachukia watu wenye misimamo ya haki ni vibwengo