Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa