Pre GE2025 Kwa dalili hizi Lissu kajimaliza kisiasa

Pre GE2025 Kwa dalili hizi Lissu kajimaliza kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.

1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.

2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.

3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.

Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
 
20240124_142909.jpg
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti chadema ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Ccm imejaa mapumbavu eti Leo yanamshabikia mbowe🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti chadema ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Hayo ndo mawazo yako
 
Lipumba kishampiga bao la mkono huko Hamad Rashid.

Mbowe labda aombe usaidizi wa Nape(ccm) ndio atashinda Dj yule
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti chadema ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
chadema kama kweli ipo serious ni wanatakiwa kwenda na lissu. na ninaimani si wajinga lazima waende na lissu.

maana akiangukia pua ccm lazima itakuja na kampeni kabambe sana " si mnawaona wale mgombea wao uraisi wa 2020 waliotaka awe raisi wa nchi wamekataa kua mwenyekiti wa chama kwa sababu wanajua uwezo mdogo, na muda ule walitaka awe raisi" nakiona kitu cha mfano huo hii itaiharibia sana picha chadema. don mbowe anatakiwa kufurushwa hata kwa mabavu
 
Mbowe yuko kwenye hatua za mwisho za kufa kisiasa, lkn kinachosumbua ni ile kutokukubaliana na hali.

Hata mgonjwa mahututi ukimwambia unakaribia kukata roho huwa anakataa kabisa.
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.

1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.

2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.

3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.

Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Weweseko na tetemeko kuu ndani ya CCM

Hali tete kinoma
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.

1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.

2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.

3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.

Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Ramli za kijinga
 
Back
Top Bottom