Pre GE2025 Kwa dalili hizi Lissu kajimaliza kisiasa

Pre GE2025 Kwa dalili hizi Lissu kajimaliza kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe yuko kwenye hatua za mwisho za kufa kisiasa, lkn kinachosumbua ni ile kutokukubaliana na hali.

Hata mgonjwa mahututi ukimwambia unakaribia kukata roho huwa anakataa kabisa.
wewe wamekujaza propaganda kali ubongoni mwako
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.

1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.

2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.

3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.

Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Msukule wa Mbowe unahangaika sana kila sekunde kuanzisha nyuzi utafikiri huyu Lissu amekuvua chupi kisha kakukopa. Kwanza wewe muunguja mambo ya Tanganyika yanakuhusu nini?
 
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.

1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.

2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.

3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.

Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
We jamaa useless sana
 
Back
Top Bottom