Huu uzi wako uko serious au unatafutia usingizi?
Ni kajinga hako achana nakoHuu uzi wako uko serious au unatafutia usingizi?
Ccm imejaa mapumbavu eti Leo yanamshabikia mbowe🪛🪛🪛🪛🪛🪛Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti chadema ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Hayo ndo mawazo yakoMaria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti chadema ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
chadema kama kweli ipo serious ni wanatakiwa kwenda na lissu. na ninaimani si wajinga lazima waende na lissu.Maria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti chadema ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Mbowe awezi shindwa chama alichokianzisha mwenyewe na kukijenga Kwa mikono yake.Mara Pap, Mbowe kashindwa kahamia ccm kwa madai kuwa Chadema si baba wala mama yake.
Mbowe awezi shindwa chama alichokianzisha mwenyewe na kukijenga Kwa mikono yake.
Lakini chadema si mama wala baba yake.Mbowe awezi shindwa chama alichokianzisha mwenyewe na kukijenga Kwa mikono yake.
Weweseko na tetemeko kuu ndani ya CCMMaria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa
Ramli za kijingaMaria space imemuharibia LISSU kisiasa.
1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye.
2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba yumba.
3. ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar hawatukubali kumpokeaa LISSU watahofu ya Lipumba.
Mwisho Lissu atafanya siasa maria space kama Dr Slaa na hapo mwisho wake kisiasa.
Labda ahamie ccm maana chadema ndio iliokuwa ikimpa nguvu kupambana na CCM ktk jukwaa la kisiasa