Pre GE2025 Kwa dalili hizi Lissu kajimaliza kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe yuko kwenye hatua za mwisho za kufa kisiasa, lkn kinachosumbua ni ile kutokukubaliana na hali.

Hata mgonjwa mahututi ukimwambia unakaribia kukata roho huwa anakataa kabisa.
wewe wamekujaza propaganda kali ubongoni mwako
 
Msukule wa Mbowe unahangaika sana kila sekunde kuanzisha nyuzi utafikiri huyu Lissu amekuvua chupi kisha kakukopa. Kwanza wewe muunguja mambo ya Tanganyika yanakuhusu nini?
 
We jamaa useless sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…