Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unahitaji ushauri? Naona tuishie hapa. Ukimaliza kupima uje tukushauri zaidi.Ninafumba macho ila nikikumbuka tu nina hii dalili usingizi unakata.. nitajikaza nikapime mkuu
Ushauri ni kupi
Ukweli mchungu, ila sina namna inabidi nikapimeKwamba ukiogopa kupima (ikiwa una maambukizi) ndio yanatoweka?
Enda upime ujue mapema kama ni kuanza doze uanze mapema
Ahsante mkuu nitajitahidi nikapime niwe na uhakikaAcha uoga ww tangu lini dalili za vvu zikaonekana baada ya wiki 2??? Huo mda hata ukipima unaweza usikute kitu ndo maana wanasema pima baada ya 3 months afu eti viwe vimetafuna cell by now???
Yeah maana hofu itakuuanitajikaza nikapime mkuu
Ukweli nimejifunza, wasiwasi na hofu inaletwa na kujua dalili ya ugonjwa na, ukawa na dalilu mojawapo kati ya zilizo andikwa unaweza ukafa kwa preshaHiyo tabia ya kaugonjwa kadogo unakimbilia Google badala ya Hospital, utajikuta una magonjwa ya ajabu mno mengine huwa hata hayapo bara la Africa, shauri yako..!!
Hahahaha.....unaweza kucheka visivyochekesha.Tarehe 10/04/2024 nilikutana kimwili na mpenzi wangu ambae sikuwa nae kwa muda nilikuwa safarini. Nilipokutana nae sikutumia kinga kwan ni muda mrefu sana nilipima nae na tulikuwa negative, baada ya hapo nilisafiri . Baada ya wiki nilianza kusikia maumivu shingoni nilipogusa niligundua kuna vimbe pande mbili za shingo nikigusa napata maumivu , ni kama mitoki sasa nikaamua kugoogle kujua inatokana na nini .. moja ya sababu ikatajwa ni maambukizi ya vvu. Nikadata ikabidi nimuulize mpenz wangu kama kuna dalili yoyote anaihisi kwenye mwili wake akasema hana. Nikajawa na msongo wa mawazo mpaka nguvu za kufanya shughuli zangu za kila siku nakosa.. ninahofu isiyoelezeka.. naombeni madaktari mnipe ushauri . Naogopa sana kwenda kupima
Nendeni hospitali mpate Ushauri wa Kitaalam ndio maana watu wanasomea.Ukweli nimejifunza, wasiwasi na hofu inaletwa na kujua dalili ya ugonjwa na, ukawa na dalilu mojawapo kati ya zilizo andikwa unaweza ukafa kwa presha
Nyege zinakata kabisaKimenuka [emoji1787]
Mbona unazidi kumpa wasi wasi.Hakikisha unaenda na mpenzi wako. Maana hata kama umepata maambukizi kwa wiki moja haitasoma positive
Ya wiki mbili haionekani Mwamba hapo aanze sala na maombi tu amalize Mwezi sio leo.Fear of unknown is real niga go to check up your status. It's simple
Hizo zilizovimba ni kitaala³m ni lymph nodes sasa kivimba kwake sio kwamb una hiv inaweza kuwa bacteria infections au any viralTarehe 10/04/2024 nilikutana kimwili na mpenzi wangu ambae sikuwa nae kwa muda nilikuwa safarini. Nilipokutana nae sikutumia kinga kwan ni muda mrefu sana nilipima nae na tulikuwa negative, baada ya hapo nilisafiri . Baada ya wiki nilianza kusikia maumivu shingoni nilipogusa niligundua kuna vimbe pande mbili za shingo nikigusa napata maumivu , ni kama mitoki sasa nikaamua kugoogle kujua inatokana na nini .. moja ya sababu ikatajwa ni maambukizi ya vvu. Nikadata ikabidi nimuulize mpenz wangu kama kuna dalili yoyote anaihisi kwenye mwili wake akasema hana. Nikajawa na msongo wa mawazo mpaka nguvu za kufanya shughuli zangu za kila siku nakosa.. ninahofu isiyoelezeka.. naombeni madaktari mnipe ushauri . Naogopa sana kwenda kupima