Kwa dalili hizi Ninahisi nina maambukizi ya VVU

Kwa dalili hizi Ninahisi nina maambukizi ya VVU

Wengi mnateketea kwa kuendekeza umalaya.vipimo vinaonesha ni kweli umeathirika.im very sorry kwa kupoteza nguvu ya taifa
 
Hilo pepo litakuua.
Hebu acha zinaa kijana.
UKIMWI gani uambukizwe baada ya siku kumi uone DALILI?
Hilo tatizo usipokuwa makini utafungulia milango ya mapepo yakuamgamize.
Kuna jamaa alitoka na demu Ijumaa, Jumatatu kaenda kupima tangu hapo hajakaa sawa mpaka leo mwaka wa kumi na tatu sasa.
Majibu yalikujaje?
 
Kitu nilichokuja kugundua katika maisha haya Zawadi pekee ambayo tunatakiwa kujivunia ni UHAI na AFYA NJEMA hiyo inatosha kukufanya kuwa mwenye furaha maisha yako yote.

Unaweza ukawa na pesa nyingi sana hizi tunazohangaika kuzitafuta lakini Afya ikipigwa tu huna furaha tena na pesa zako japo zitakusaidia ila kuna sehemu huwa zinadunda.
STAY FOCUSED & STAY HEALTH.
 
Niliwahi kusoma humu Jukwaani Vijana wakidanganyana eti ukitoka kufanya ngono peku (ngono bila kutumia Kinga) eti we wahi bafuni OSHA kifanyio Chako na Maji ya baridi wale wadudu wanakufa 🙌

Nikasema kama hali ikiendelea hivi, basi kama Taifa tunaenda kupoteza nguvu kazi ya Vijana wetu

Anyways, kufikia sasa hakuna kipimo kinaweza kupima HIV/UKIMWI Kwa kuwauliza watu

Njia sahihi ni kwenda wewe na Mpenzi wako kituo cha Afya kilicho jirani nawe kwaajili ya vipimo zaidi.

By the way, kuwa imara

Kupata HIV/UKIMWI sio mwisho wa maisha yako
 
Tarehe 10/04/2024 nilikutana kimwili na mpenzi wangu ambae sikuwa nae kwa muda nilikuwa safarini.

Nilipokutana nae sikutumia kinga kwan ni muda mrefu sana nilipima nae na tulikuwa negative, baada ya hapo nilisafiri.

Baada ya wiki nilianza kusikia maumivu shingoni nilipogusa niligundua kuna vimbe pande mbili za shingo nikigusa napata maumivu , ni kama mitoki sasa nikaamua kugoogle kujua inatokana na nini .. moja ya sababu ikatajwa ni maambukizi ya vvu.

Nikadata ikabidi nimuulize mpenz wangu kama kuna dalili yoyote anaihisi kwenye mwili wake akasema hana. Nikajawa na msongo wa mawazo mpaka nguvu za kufanya shughuli zangu za kila siku nakosa.. ninahofu isiyoelezeka.

Naombeni madaktari mnipe ushauri.

Naogopa sana kwenda kupima
Lymph nodes hizo zime enlarge .

Lymph nodes ziki enlarge ina maanisha umepata maambukizi ila sio lazima iwe H.I.V. Inaweza ikawa magonjwa mengine mfano gonorrhoea.

Moja ya dalili za ukimwi stage ya kwanza ni generelarized lymph adenopathy (kuvimba kwa hizo lymph nodes)

Wahi hospitali haraka, usisahau kupima pia Ukimwi huenda umepata virusi vya ukimwi pia.

Wahi mapema kabla dalili hazijaanza kujionesha watu wakakushtukia.
 
Tarehe 10/04/2024 nilikutana kimwili na mpenzi wangu ambae sikuwa nae kwa muda nilikuwa safarini.

Nilipokutana nae sikutumia kinga kwan ni muda mrefu sana nilipima nae na tulikuwa negative, baada ya hapo nilisafiri.

Baada ya wiki nilianza kusikia maumivu shingoni nilipogusa niligundua kuna vimbe pande mbili za shingo nikigusa napata maumivu , ni kama mitoki sasa nikaamua kugoogle kujua inatokana na nini .. moja ya sababu ikatajwa ni maambukizi ya vvu.

Nikadata ikabidi nimuulize mpenz wangu kama kuna dalili yoyote anaihisi kwenye mwili wake akasema hana. Nikajawa na msongo wa mawazo mpaka nguvu za kufanya shughuli zangu za kila siku nakosa.. ninahofu isiyoelezeka.

Naombeni madaktari mnipe ushauri.

Naogopa sana kwenda kupima
Doctor andikia hii mutu dosi ya asuma
 
Nunua vipimo hapo chap mpime yeye kwanza ili ujue utakapoanzia.

Ukimwi siyo kufa, usiogope mjukuu.

Moja ya vitu risky ni kupima HIV nyumbani...hasa kwa case ya mleta mada ambaye amejawa na uoga

Ndio maana wengi wanaopimwa kabla ya kupata majibu wanashauriwa mambo fulani fulani

Nyumbani tujipime uzito,mimba na pressure
 
Hapo hata chuma hakisimami,hofu ni zaidi ya ugonjwa wenyewe kwa sababu hapo unawaza endapo utakutwa na VVU=KIFO!....kumbe hata bila ukimwi death is always hunting us!relax mkuu,pima jua afya yako and be responsible!
 
Hapo hata chuma hakisimami,hofu ni zaidi ya ugonjwa wenyewe kwa sababu hapo unawaza endapo utakutwa na VVU=KIFO!....kumbe hata bila ukimwi death is always hunting us!relax mkuu,pima jua afya yako and be responsible!
 
Hapo hata chuma hakisimami,hofu ni zaidi ya ugonjwa wenyewe kwa sababu hapo unawaza endapo utakutwa na VVU=KIFO!....kumbe hata bila ukimwi death is always hunting us!relax mkuu,pima jua afya yako and be responsible!
 
Back
Top Bottom