Kipimo ni sh. 5000/- TU WHY UUMIZE KICHWA,
Pima mkuu, kuna demu mke wa mtu nilokuwa nakakula, ila kalisisitiza condm kwamba kana mtoto mdogo na pia hakataki mimba.
Week juzi nikakaambia kama utani tupime, mimi nina box full ndani, kakubali chap hakana wasi wasi, basi nikakapiga na pira kisha kakasema kanawahi nitakatumia majibu.
Sio muda kipimo mistari miwili hewani, kanauliza vipi huko? Nikasema kipimo kimeharibu majibu hayaeleweki. Kikasema poaw tutakuja kurudia, ila toka siku hiyo hakajaja na hakatak kuja, kumaanisha kanajua hali yake.
Guys ile formula ya ABC ya femina itumike
A= Acha kabisa
B= baki na mwaminifu
C= Tumia Condom
A na B zimenishinda, walau C.