Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Duh hapo labda ilikuwa kiwanja hakipo mabondeni kama kipo sehemu nzuri hiyo bei sahihi mkuuChanika kwa moto, tumekutana 20*20 eti Mil 4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hapo labda ilikuwa kiwanja hakipo mabondeni kama kipo sehemu nzuri hiyo bei sahihi mkuuChanika kwa moto, tumekutana 20*20 eti Mil 4.
Inamaana ni pori sana huko mpaka 20x20 mil 4Chanika kwa moto, tumekutana 20*20 eti Mil 4.
Ndio 😹Haha Laki 3?
unamaanisha laki tatu? au milion 3? kama ni laki 3 labda uende Morogoro mahenge ulanga unaweza pata hukoKwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Upimaji usiwe Kwa foot
Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia.
Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya dar
Wajuzi mtujuze📌
Pembezoni mwa Dar huko vipo tena kuna jamaa alikua anadalia ni laki 1 tu sio laki 3 ila ni mbali huko hata huduma za jamii hakuna kukavu au unafikiri Dar ndogo km inavyoonyeshwa kwenye ramani kwamba unaweza ukaizunguka siku 1 tu ukaimaliza yote?Laki 3?
mvuti upate cha lak 3?, Chanika upate cha laki tatu huwezi pataLabda nje ya daslam kama bagamoyo na maeneo ya mvuti hukoo mixer chanika mwisho mabondeni na tambani wilaya ya mkuranga na mipeko hukoo
Vipo ila vya kukata huko ni mbali kidogo hii niliikuta Chanika huko kuna jamaa alikua anadalalia vilipo ni maeneo ya ndani ndani huko wewe huendi maana kuna sehemu nilienda kukagua mwenyeji pale akasema hapa usinunue sasa hivi subiri mvua inyeshe kisha njoo ufanye maamuzi hapa mvua ikinyesha ni bwawa ila jua likiwaka ni tambalale huwezi kujua km hapo mvua ikinyesha panageuka bwawa kabisa kwa hio mzee unanunua eneo la bwawa nikasubiria mvua kwenda kucheck kweli ni bwawa kabisaunamaanisha laki tatu? au milion 3? kama ni laki 3 labda uende Morogoro mahenge ulanga unaweza pata huko
Soma vizuri nilicho andika mkuumvuti upate cha lak 3?, Chanika upate cha laki tatu huwezi pata
Unapata vipo usibishe ila maeneo hayo ukinunua mvua ikinyesha huna wa kumlaumu umenunua kwenye makazi ya maji yaan juakali ukienda kununua unapaona pako safi kabisa lipia subiri mvua inyeshe uone ulichokinunua ndio utaelewa kwanini walikuuzia kwa bei hiomvuti upate cha lak 3?, Chanika upate cha laki tatu huwezi pata
Mwana unatiririka na mote mle mle big upLabda nje ya daslam kama bagamoyo na maeneo ya mvuti hukoo mixer chanika mwisho mabondeni na tambani wilaya ya mkuranga na mipeko hukoo