Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo labda itakuwa Dah na sio DarKwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Upimaji usiwe Kwa foot
Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia.
Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar
Wajuzi mtujuze📌
Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Upimaji usiwe Kwa foot
Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia.
Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar
Wajuzi mtujuze📌
Labda mita 3x3Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Upimaji usiwe Kwa foot
Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia.
Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar
Wajuzi mtujuze📌
Kwani chanika ni Saridalama?Chanika vipo mkuu
😅Dar hakuna kinachokosekana. Viwanja vya laki 3 vipo ila ujiandae kushinda mahakamani
Hili swali lako lingekuwa na uhalisia na mashiko iwapo tu, hiyo laki tatu ingekuwa ni mfano wa bei kwa square meter moja. Ila sio kama ulivyoweka.Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Vipo hadi vya 50,000 njoo hapa Coco Beach nitakuuzia. Nifuate inbox.Ndio
Hela ya bia hiyo.Ndio
Dar hakuna kinachokosekana. Viwanja vya laki 3 vipo ila ujiandae kushinda mahakamani
Ila hii nayo point. Hongera kwa kutegua mtego.laki3 ya kimarekani
Wewe huna kwenye mabaki baki ya zile hekari zako ukamsaidia?Labda upate mtu ana shida, anauza ili atatue shida zake.....