Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo chalii mkikutana town unajua chalii katokea kibande gani ya arusha?Hao ni machalii wa ololoo..ngalimi..chuga kila pande ina staili zake
matejoo soko mjingaHebu niwekee na machalii wa Matejoo.
baridiMbona wanavaa nguo nyingi ivo? Duuuuuuuuuh
arusha ni kwa hovyo hovyo sana wao ni ugoro bangi na viroba tu
"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri![]()
Hahahaaaapo ata anayegraduate ujui ni yupi fujo tupu .wamezaliwa r chuga,wapo kichuga chuga
Bora hawa vijana wetu wamejikita huku, kuliko hao wanaovuta UNGA.arusha ni kwa hovyo hovyo sana wao ni ugoro bangi na viroba tu