Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Aisee chali yangu mambo super aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unavuta bangi na konyagi jua la saa saba lazima utavaa tite tu dadeekii..."ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri![]()
Ndio kitu gani hii arifu ? Unga ya sembe au mayai ya mbuniRidiculous!
Kuna kitu nikiweke sawa ili waporipori kama ulivyo ww mkielewe, sio kwamba machalii wa chuga hawajui kuvaa casual kama unavyodhani..... lifute hilo kichwani, kitu people za chuga wanajaribu fanya ni kutafuta identify yao kama wao ndio maana wanadivert toka kuvaa casual as we all used to nakua na something unique.... ili kuweka kumbukumbu sawa ni hivi mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa iliyobahatika kupata elimu siku nyingi sana enzi za wakoloni so usiwaze kua hao wapo hivyo labda ni uncivilized hapana....... hope umenisoma.Huwa wanakuwa hivi wakiwa kwao......wakishaingia mjini...wanagundua kuwa ulikuwa ni ushamba kupitiliza...............
Ba.nge hatareeeee............
Niliwaona wengi wakija first year na hizi swaga(tena wanatembea kimakundi makundi...kama nyumbu)....baadaye wanajuta na kubadili mazingira....na ushamba wenu huko huko.......
Yap.... kuna pia machalii wapo Pale karibu na Charity Hotel, huwa wanaleta mzigo kutoka Merelani.matejoo soko mjinga
Bora umekuja mwakilishi wao........Nimetembea mikoa mingi ya baridi (Mbeya,Iringa,Rukwa..etc) na sio washamba kama hao jamaa.....Na nimesoma chuo ambacho kina machilii wengi hapa mjini (tafuta mwenyewe utakijua)....eti identity yao......mshamba mshamba tu....na mi kama mpori pori ndo niko hivyo............unaweza ukapata elimu lakini usiwe na maarifa......Mfn: Profesa wako..........sasa kwani ni civilized hao?.........Huwa nawachora tu........basi nasikitikia itikadi zao za kishamba..........Kuna kitu nikiweke sawa ili waporipori kama ulivyo ww mkielewe, sio kwamba machalii wa chuga hawajui kuvaa casual kama unavyodhani..... lifute hilo kichwani, kitu people za chuga wanajaribu fanya ni kutafuta identify yao kama wao ndio maana wanadivert toka kuvaa casual as we all used to nakua na something unique.... ili kuweka kumbukumbu sawa ni hivi mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa iliyobahatika kupata elimu siku nyingi sana enzi za wakoloni so usiwaze kua hao wapo hivyo labda ni uncivilized hapana....... hope umenisoma.
Alafu ni chuo gani hicho unakiongelea usikute ni ndanindani huko SAJUKO sijui iko Songea alafu unakuja kujitapa hapa!!!!!
Acha kuongopea watu au otherwise kaongopee watoto wenzio..Dar, Mwanza wanaiga swaga za Marekani na ulaya Arusha kitu Unique Huwezi kukipata sehemu nyingine popote pale!
Point yako sanasana ni ipi we nguchiro? Machalii kuvaa hivyo kuna ubaya? Hapohapo unasema ni washamba tena unarudia kusema kuna nchi wamecopy.... ...Bora umekuja mwakilishi wao........Nimetembea mikoa mingi ya baridi (Mbeya,Iringa,Rukwa..etc) na sio washamba kama hao jamaa.....Na nimesoma chuo ambacho kina machilii wengi hapa mjini (tafuta mwenyewe utakijua)....eti identity yao......mshamba mshamba tu....na mi kama mpori pori ndo niko hivyo............unaweza ukapata elimu lakini usiwe na maarifa......Mfn: Profesa wako..........sasa kwani ni civilized hao?.........Huwa nawachora tu........basi nasikitikia itikadi zao za kishamba..........
Na najua mlikuwa mnajaribu kukopi watu fulani wa western...........
Mpaka motion ya kutembea wanatofautiana mtaa kwa mtaakwa hiyo chalii mkikutana town unajua chalii katokea kibande gani ya arusha?
hivi ndo wamevaaje hawa jamaaMpaka motion ya kutembea wanatofautiana mtaa kwa mtaa
'Manzi anajipinda shiverz aende kununua travoo' by young omegaMnyonyo na travoo nadundika kama tenesi