Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri
83832bb234097c90433126b48a754c24.jpg
unavuta bangi na konyagi jua la saa saba lazima utavaa tite tu dadeekii...
 
Huwa wanakuwa hivi wakiwa kwao......wakishaingia mjini...wanagundua kuwa ulikuwa ni ushamba kupitiliza...............
Ba.nge hatareeeee............
Niliwaona wengi wakija first year na hizi swaga(tena wanatembea kimakundi makundi...kama nyumbu)....baadaye wanajuta na kubadili mazingira....na ushamba wenu huko huko.......
Kuna kitu nikiweke sawa ili waporipori kama ulivyo ww mkielewe, sio kwamba machalii wa chuga hawajui kuvaa casual kama unavyodhani..... lifute hilo kichwani, kitu people za chuga wanajaribu fanya ni kutafuta identify yao kama wao ndio maana wanadivert toka kuvaa casual as we all used to nakua na something unique.... ili kuweka kumbukumbu sawa ni hivi mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa iliyobahatika kupata elimu siku nyingi sana enzi za wakoloni so usiwaze kua hao wapo hivyo labda ni uncivilized hapana....... hope umenisoma.


Alafu ni chuo gani hicho unakiongelea usikute ni ndanindani huko SAJUKO sijui iko Songea alafu unakuja kujitapa hapa!!!!!
 
Kuna kitu nikiweke sawa ili waporipori kama ulivyo ww mkielewe, sio kwamba machalii wa chuga hawajui kuvaa casual kama unavyodhani..... lifute hilo kichwani, kitu people za chuga wanajaribu fanya ni kutafuta identify yao kama wao ndio maana wanadivert toka kuvaa casual as we all used to nakua na something unique.... ili kuweka kumbukumbu sawa ni hivi mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa iliyobahatika kupata elimu siku nyingi sana enzi za wakoloni so usiwaze kua hao wapo hivyo labda ni uncivilized hapana....... hope umenisoma.


Alafu ni chuo gani hicho unakiongelea usikute ni ndanindani huko SAJUKO sijui iko Songea alafu unakuja kujitapa hapa!!!!!
Bora umekuja mwakilishi wao........Nimetembea mikoa mingi ya baridi (Mbeya,Iringa,Rukwa..etc) na sio washamba kama hao jamaa.....Na nimesoma chuo ambacho kina machilii wengi hapa mjini (tafuta mwenyewe utakijua)....eti identity yao......mshamba mshamba tu....na mi kama mpori pori ndo niko hivyo............unaweza ukapata elimu lakini usiwe na maarifa......Mfn: Profesa wako..........sasa kwani ni civilized hao?.........Huwa nawachora tu........basi nasikitikia itikadi zao za kishamba..........
Na najua mlikuwa mnajaribu kukopi watu fulani wa western...........
 
Dar, Mwanza wanaiga swaga za Marekani na ulaya Arusha kitu Unique Huwezi kukipata sehemu nyingine popote pale!
Acha kuongopea watu au otherwise kaongopee watoto wenzio..

Hiyo style ya uvaaji imeigwa huko huko Marekani(ilikuwa style early 90's mpaka late 90's) na si vinginevyo ila tu machalii wa Arusha hawajataka kuiacha.

Refer old school rap videos za watu kama Wu Tang,Onyx,Mobb Deep,Naught By Nature,Lost Boys,Das EFX nk utaona.

upload_2016-10-11_16-31-18.png
 
Bora umekuja mwakilishi wao........Nimetembea mikoa mingi ya baridi (Mbeya,Iringa,Rukwa..etc) na sio washamba kama hao jamaa.....Na nimesoma chuo ambacho kina machilii wengi hapa mjini (tafuta mwenyewe utakijua)....eti identity yao......mshamba mshamba tu....na mi kama mpori pori ndo niko hivyo............unaweza ukapata elimu lakini usiwe na maarifa......Mfn: Profesa wako..........sasa kwani ni civilized hao?.........Huwa nawachora tu........basi nasikitikia itikadi zao za kishamba..........
Na najua mlikuwa mnajaribu kukopi watu fulani wa western...........
Point yako sanasana ni ipi we nguchiro? Machalii kuvaa hivyo kuna ubaya? Hapohapo unasema ni washamba tena unarudia kusema kuna nchi wamecopy.... ...
 
Back
Top Bottom