Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

hayo ni maoni yako mkuu,sijaona upumbavu wowote hapo,kama wako hawatavaa hvyo lakini wakaliwa kiboga lipi bora??,ujana tu huo,zama zao zikishapita wataacha,au ulitaka waje kuvaa hivyo uzeeni nn?
mambo ya kiboga yameingiaje hapo kiongozi?twende kwa hoja na sio kejeli.
Naona mnasifia visivyo na maana naona mnawaponda wa mikoa mikoa mingne kuwa washamba,kuvaa hivyo msisingizie kuwa ni ujana,binafs nimekulia arusha lakini wanao vaa hivyo asilimia kubwa ni hawajaelimika,umewahi kuwaona joh makini,nikki2,gnako,jcb,chindo wamevaa huo upuuzi?
kama kuvaa hivyo ni ujana wewe steveachi unaweza kuvaa hivyo.
Naelimisha vijana wenzangu twende na wakati tutafute fursa tuache usela mavi,muda hautusubiri tubadilike.
 
ndio maaana unaambiwaa....''Vunga chalii hii ni chugga''
Swagger ni Dar es salaam, Arusha ni Old school!!!

Old is Gold[emoji114][emoji114]
 
mambo ya kiboga yameingiaje hapo kiongozi?twende kwa hoja na sio kejeli.
Naona mnasifia visivyo na maana naona mnawaponda wa mikoa mikoa mingne kuwa washamba,kuvaa hivyo msisingizie kuwa ni ujana,binafs nimekulia arusha lakini wanao vaa hivyo asilimia kubwa ni hawajaelimika,umewahi kuwaona joh makini,nikki2,gnako,jcb,chindo wamevaa huo upuuzi?
kama kuvaa hivyo ni ujana wewe steveachi unaweza kuvaa hivyo.
Naelimisha vijana wenzangu twende na wakati tutafute fursa tuache usela mavi,muda hautusubiri tubadilike.

mbona povu jingi sana mkuu,wamekufanya nn kwani hao vijana??,sio lazima unachokiamini wewe kiaminiwe na kila mtu mkuu
 
mbona povu jingi sana mkuu,wamekufanya nn kwani hao vijana??,sio lazima unachokiamini wewe kiaminiwe na kila mtu mkuu
sio povu najaribu kuwaelimisha vijana,nina wadogo zangu 2 huko huko arusha wameharibiwa na hao hao mnaowasifia.
Wamekuwa watumia wa madawa na bangi na kuvaa hayo mastyle yenu mnayowasifia na shule wameacha wameamua kufatana na hao machokoraa
 
Kwa uvaaji huo hapana kwakweli.
Mtu unaonekana mchafu na upo rough.
Mnisamehe kaka zangu na wadogo zangu wa Arusha ila hampendezi.
Ila ndo hivo wanaipenda style yao na wakati mwingine ukikutana nae unajikuta tu unacheka.
 
hayo ni maoni yako mkuu,sijaona upumbavu wowote hapo,kama wako hawatavaa hvyo lakini wakaliwa kiboga lipi bora??,ujana tu huo,zama zao zikishapita wataacha,au ulitaka waje kuvaa hivyo uzeeni nn?
Mbona wewe kuna post umesema 'wajinga wajinga wa miji mingine, midosho etc. Hivyo hivyo wengine wanaona huo uvaaji ni upumbavu ni maoni tu.
 
Kitu kimoja wanacho nishangaza.....up stairs wako vizuri. Wako well informed. Tena siyo information kama za 'WASAFI' wa Makonda, maisha Wema Sepetu. Chalii ya Chuga ina information za maana na weledi.
Arusha na watu wake inaonesha ni the best in the world! Ila kwa dress code hio na chupa za konyagi mkononi.....well well
 
sio povu najaribu kuwaelimisha vijana,nina wadogo zangu 2 huko huko arusha wameharibiwa na hao hao mnaowasifia.
Wamekuwa watumia wa madawa na bangi na kuvaa hayo mastyle yenu mnayowasifia na shule wameacha wameamua kufatana na hao machokoraa


issue za bangi na ujingajinga wa aina hiyo sio suala linalojadiliwa hapa mkuu,hata mimi siungi mkono upuuzi huo,sioni kama wamefanya baya lolote hao madogo kwa kuvaa vile,tena ukizingatia walikuwa kwenye graduu ya mshkaji wao,mi naona wameamua kusheherekea mwana wao kumaliza shule kipekee zaidi
 
Acha kuongopea watu au otherwise kaongopee watoto wenzio..

Hiyo style ya uvaaji imeigwa huko huko Marekani(ilikuwa style early 90's mpaka late 90's) na si vinginevyo ila tu machalii wa Arusha hawajataka kuiacha.

Refer old school rap videos za watu kama Wu Tang,Onyx,Mobb Deep,Naught By Nature,Lost Boys,Das EFX nk utaona.

View attachment 416224
Style ya Arusha. Ni mnyonyo shati kubwa doggydoggy na allstar refu kupita size/travolta/timberland/americanboot/cat na boshori inawekwa kinamna hapo juu au kofia inakunjwa kwa style flani hapo juu na delek hakuna mmarekani anavaa hiyo combination usidanganye wa mikoani sababu najua huwezi kudanganya wa Arusha.

Hapo bado motion code sababu akivaa hivyo atembei kawaida aether atapandisha bega moja juu (kibabe) au atapeleka kifua mbele kama bonnet ya layland.......... Na msemo wa "jamaa amepinda (amechoka)" umetokana na hii motion code



[emoji817]
 
papa mafido
1476296766197.png




[emoji817]
 
Back
Top Bottom