Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu kuacha Aiseemambo ya kiboga yameingiaje hapo kiongozi?twende kwa hoja na sio kejeli.
Naona mnasifia visivyo na maana naona mnawaponda wa mikoa mikoa mingne kuwa washamba,kuvaa hivyo msisingizie kuwa ni ujana,binafs nimekulia arusha lakini wanao vaa hivyo asilimia kubwa ni hawajaelimika,umewahi kuwaona joh makini,nikki2,gnako,jcb,chindo wamevaa huo upuuzi?
kama kuvaa hivyo ni ujana wewe steveachi unaweza kuvaa hivyo.
Naelimisha vijana wenzangu twende na wakati tutafute fursa tuache usela mavi,muda hautusubiri tubadilike.
hiiii kituuu.ni culture!!!!
"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri![]()
Trauza chupa"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri![]()
Hiyo cio akili ya .wanadmu wa kawaida hio ni bange,viroba gozo,mirungi,ugolo hakuna akili nzuri hapo ndo mana kule rombo yanakunywa sana gongo,mi sinmekaa nao sana mpaka nami nkaa natumia gpngo na bangi ,yani arusha zito kabisa miaka ishirin mbele arusha haitakuwa na watu wenye akili timamu kama kina lema n.k vijana wanaharibika hlf nyie ndo mnaona siifa wakifnya akil za bangi ngoja mpigwe gepu na mikoa mingine ynye watu weny kujitambuasalute sana machalii wa chuga,wapo tofauti sana na wauza sura wa miji mingine,kwao midosho na ujingajinga mwingine nooop
Acha kutryea akili za bangi hiyo migwagulo yote hiyo akil kwel ya kawaida,bangi ,gongo chimpumu chsng'aa ziko kichwn zed dollarsAcha mambo za kikuzi, hivyo walivyovaa kuna shida gani? Hayo makoti ni ili kuzuia baridi kwani chuga ni kama Russia hilo baridi lake.....
Weka swaga za kwenu ambako sio pa hovyohovyo!!!!
tupia na dogy dogy ila usiombe upambane na polisi mana wana allege na izo mapigo [emoji1] [emoji1]Mnyonyo na travoo nadundika kama tenesi
Napenda sana kuwaona wamevaa zle kofia za mtumba kama za maafsa jeshi znazokaa kpemben kama inataka kudondoka
Hapo vipi?Huwezi kutetea upuuzi kisa unafanyika kijijini kwenu.