Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

Yani hawa vijana ni wengi sn mji huo.Unga limited
Kule hawataki ujinga ukileta ujinga wanakunyoosha tu,ndipo walipotokea akina joh makini na watukutu wengine!...ha ha haa jk alishawahi tamka angependa cku moja akaishi kule.
 
Kuna kitu nikiweke sawa ili waporipori kama ulivyo ww mkielewe, sio kwamba machalii wa chuga hawajui kuvaa casual kama unavyodhani..... lifute hilo kichwani, kitu people za chuga wanajaribu fanya ni kutafuta identify yao kama wao ndio maana wanadivert toka kuvaa casual as we all used to nakua na something unique.... ili kuweka kumbukumbu sawa ni hivi mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa iliyobahatika kupata elimu siku nyingi sana enzi za wakoloni so usiwaze kua hao wapo hivyo labda ni uncivilized hapana....... hope umenisoma.


Alafu ni chuo gani hicho unakiongelea usikute ni ndanindani huko SAJUKO sijui iko Songea alafu unakuja kujitapa hapa!!!!!
Fact sana dingii
 
Machalii zangu hao nikiwapita maahil flani huwa wananita bamkubwa, bamdogo wengine bablai daaahh Arusha salute sana na enjoy sana na hawa machaliii zangu wengine utaskia eee baba la bab niaje aisee
Ha ha haa!...Machalii wa bongonyooo!..
 
Kuna kitu nikiweke sawa ili waporipori kama ulivyo ww mkielewe, sio kwamba machalii wa chuga hawajui kuvaa casual kama unavyodhani..... lifute hilo kichwani, kitu people za chuga wanajaribu fanya ni kutafuta identify yao kama wao ndio maana wanadivert toka kuvaa casual as we all used to nakua na something unique.... ili kuweka kumbukumbu sawa ni hivi mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa iliyobahatika kupata elimu siku nyingi sana enzi za wakoloni so usiwaze kua hao wapo hivyo labda ni uncivilized hapana....... hope umenisoma.


Alafu ni chuo gani hicho unakiongelea usikute ni ndanindani huko SAJUKO sijui iko Songea alafu unakuja kujitapa hapa!!!!!
Pamoja na mikoa ya kaskazini kuwa mikoa iliopata elimu siku nyingi, haina maana kama kila mtu kaelimika na kuwa civilized. Anyway kama hao ndio vijana walioelimika na kuwa civilized huko i wonder ambao hawakubahatika wakoje!
 
Pamoja na mikoa ya kaskazini kuwa mikoa iliopata elimu siku nyingi, haina maana kama kila mtu kaelimika na kuwa civilized. Anyway kama hao ndio vijana walioelimika na kuwa civilized huko i wonder ambao hawakubahatika wakoje!
Kaka hujaeleweka ulitaka kuwasilisha point gani hapa!!
 
salute sana machalii wa chuga,wapo tofauti sana na wauza sura wa miji mingine,kwao midosho na ujingajinga mwingine nooop
sasa mkuu mbona unasifia upumbavu eti?kuvaa hivyo ni unaona ni unjanja kweli?
tuongee ukweli hv mtoto wako akija kwako amevaa hivyo utafurahi kweli?
mimi nimezaliwa moshi lakini nimekulia arusha lakini upumbavu kama huo sijawahi kuhushabikia,kijana yoyote wa arusha aliyepata elimu hawafanyi ujinga huo.
 
sasa mkuu mbona unasifia upumbavu eti?kuvaa hivyo ni unaona ni unjanja kweli?
tuongee ukweli hv mtoto wako akija kwako amevaa hivyo utafurahi kweli?
mimi nimezaliwa moshi lakini nimekulia arusha lakini upumbavu kama huo sijawahi kuhushabikia,kijana yoyote wa arusha aliyepata elimu hawafanyi ujinga huo.


hayo ni maoni yako mkuu,sijaona upumbavu wowote hapo,kama wako hawatavaa hvyo lakini wakaliwa kiboga lipi bora??,ujana tu huo,zama zao zikishapita wataacha,au ulitaka waje kuvaa hivyo uzeeni nn?
 
Pamoja na mikoa ya kaskazini kuwa mikoa iliopata elimu siku nyingi, haina maana kama kila mtu kaelimika na kuwa civilized. Anyway kama hao ndio vijana walioelimika na kuwa civilized huko i wonder ambao hawakubahatika wakoje!
RRONDO hao vijana hawajaelimika wanajiona much know kumbe ni upumbavu tu kuvaa ujinga.
Mtu kavaa skin tight na bonge la koti chini kavaa kiatu over size hiyo ni akili au upumbavu?
Umewahi kuwaona joh makini,nikki 2,g nako,wamevaa huo upuuzi?
 
Back
Top Bottom