Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Kati ya kura za majority ndyo kila kitu hiko kikundi chako cha FIFA cha wahuni unakijua wewe na ukoo wenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bila unazi, Pele ni mkali zaidi yao...kipindi alichocheza kulikuwa na wachezaji wasiolegelege wanaojiangushaangusha.Respect Pele
 
Bruce Lee
Mohamed ali (the great )
Bob marley
Michael Jordan
Michael Jackson
Pele wa brazil
Hawa viumbe walifanya yao endeleeni tu kuwafananisha ila kwangu mimi walikuwa na vipaji na vipawa vya hali ya juu sana
Mkuu umemsaau Tupac
 


Pele huyo jaman ndo umlinganishe na kina Messi wanaokuwa na mabeki kama cavajarii
 
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



Duuuu. Basi.kweli Pele ni Baba lao. Hawa kina Messi hawana jipya. Ila ukiangalia kizazi cha sasa nadhani Gaucho ndo amejitahidi sana kufuata nyayo za Pele Messi hana manjonjo kama ya Pele
 
Nimeshasema hizo ni kura za washabiki tu ila WATAALAM walioteuliwa na FIFA kwa sauti moja walimpa tuzo Pele sasa unachobisha ni nini..... Hivi mashabiki wanafaham mpira kuliko wataalam???
Naonba tukubaliane kutokubaliana kuwa Pele ni sehemu ya chombo cha propaganda cha fifa. Diego Maradona yeye alikuwa na uadui na fifa kwa kuwa yu Maeadona alikuwa akidai fifa inawanyonya wachezaji.

Hiyo kamati unayosema iliundwa na fifa haina tofauti na mambo wanayofanya ccm hapa nchini. Yaani ulitegemea fifa wamtangaze Maradona wamwache pele. Ningeshindwa kushangaa.

Nimeona goli pele alilowafunga Juve. [emoji1] [emoji1] [emoji1] ni ajabu. Kwanza yupo slow mabeki wanamwangalia tu kama wanashangaa wenzao wakipigwa kanzu. Mabeki aina ya marceily Desaily hawezi kukuacha. Anakutoa kwenye reli na mpira anachukua.

Diego ni zaidi ya pele
 
Bruce Lee
Mohamed ali (the great )
Bob marley
Michael Jordan
Michael Jackson
Pele wa brazil
Hawa viumbe walifanya yao endeleeni tu kuwafananisha ila kwangu mimi walikuwa na vipaji na vipawa vya hali ya juu sana
Hao magenius
 
Naonba tukubaliane kutokubaliana kuwa Pele ni sehemu ya chombo cha propaganda cha fifa. Diego Maradona yeye alikuwa na uadui na fifa kwa kuwa yu pele alikuwa akidai fifa inawanyonya wachezaji.

Hiyo kamati unayosema iliundwa na fifa haina tofauti na mambo wanayofanya ccm hapa nchini. Yaani ulitegemea fifa wamtangaze Maradona wamwache pele. Ningeshindwa kushangaa.

Nimeona goli pele alilowafunga Juve. [emoji1] [emoji1] [emoji1] ni ajabu. Kwanza yupo slow mabeki wanamwangalia tu kama wanashangaa wenzao wakipigwa kanzu. Mabeki aina ya marceily Desaily hawezi kukuacha. Anakutoa kwenye reli na mpira anachukua.

Diego ni zaidi ya pele
Correct 100%. Mkuu
Maradona is the best in the world
 
Mie huwa nawatizama tu wanaompinga king pele japo huwa siwashangai na kuwadharau sbabu ndio akili yao, pele nimfatilia kwa karibu mnoo, nakili kwa dhati pele hana mpinzani jamaa alikuwa nux
Mara nyingi shafii dauda ndiye anayewadanganya watoto kuwa hakuna kama mesi!!
 
Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa

1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.

2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.

Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.

Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.

Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.

Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.

Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.

Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.

Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".

Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.
Hizi ni siasa
 
"The people voted for me. Now they want me to share the prize with Pele. I'm not going to share the prize with anybody."

Maradona’s reaction in 2000 when FIFA asked him to share the Player of the Century prize with Pele, despite the Argentine winning the public vote by a landslide margin.
Huenda jamaa alikuwa hajazaliwa au alikuwa mdogo sana kujua kwamba hawa jamaa walishindanishwa kwenye tunzo ya mwanasoka bora wa karne ya 20 mwaka huo
 
Duuuu. Basi.kweli Pele ni Baba lao. Hawa kina Messi hawana jipya. Ila ukiangalia kizazi cha sasa nadhani Gaucho ndo amejitahidi sana kufuata nyayo za Pele Messi hana manjonjo kama ya Pele
Kabisa
 
Huenda jamaa alikuwa hajazaliwa au alikuwa mdogo sana kujua kwamba hawa jamaa walishindanishwa kwenye tunzo ya mwanasoka bora wa karne ya 20 mwaka huo
Jopo la wataalam lilimpa ushindi pele.... Hizo kura za mashabiki 90% hawakuwahi muona pele na wengi waliopiga kura ilikuwa ulaya ila wataalam sababu wanajua mpira ndio wakasuggest tuzo iende kwa pele

Ndio maana wakashare tuzo.... Ila shirikisho la wachezaji wa zamani wote lilimpa tuzo pele kma mchezaji wa karne pia kamati ya olympic ilimpa pele mwanamichezo bora wa karne akimzidi kura muhammad ali na magwiji kma Michael jordan na Michael Schumacher wa formula 1

Pele hana mfano
 
Back
Top Bottom