Kwa elimu hii ya Tanzania tusahau kuhusu uvumbuzi

Kwa elimu hii ya Tanzania tusahau kuhusu uvumbuzi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko.

University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six nikahangahikia ajira kwanza, uamuzi ambao mpaka kesho naufurahia.

Turudi kwenye mada.
Tanzania tunasoma kwa malengo 2 tu.

1. Tufaulu mitihani
Ushahidi uko wazi kabisa Darasa la 4 ,7, kidato cha 4 & 6 likizo zao hazijulikani. Ingekuwa tunasoma ili tuelimike, tugundue vitu kusingekuwa na haja ya madarasa haya 4 kuwa special. Hii kuanzia afisa elimu mkoa mpaka kata yanawanyima usingizi haya madarasa.

2. Tunasoma ili tuajiriwe
Hili kila mzazi anaweza kuwa shahidi. Wazazi wa kipato cha chini, kati mpaka cha juu katika nchi hii hutamani watoto wao waajiriwe. Utofauti ni kwamba mzazi maskini yeye anachojali mwanae aajiriwe tu hasa serikalini bila kujali kada ipi na ofisi ipi huku wazazi matajiri hutamani watoto wao waajiriwe kwenye mashirika ya umma yenye majina makubwa.

Idadi ya wasomi itaongezeka ila tusahau kuhusu uvumbuzi.

Tuendelee kukariri vya wenzetu, tafiti za ukubwani kama zile za SUA na panya magawa, mara wadudu maji moto hazina impact kubwa ulimwenguni.
 
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko.
University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six nikahangahikia ajira kwanza, uamuzi ambao mpaka kesho naufurahia.
Turudi kwenye mada.
Tanzania tunasoma kwa malengo 2 tu.
1. Tufaulu mitihani
Ushahidi uko wazi kabisa
Darasa la 4 ,7, kidato cha 4 & 6 likizo zao hazijulikani.
Ingekuwa tunasoma ili tuelimike, tugundue vitu kusingekuwa na haja ya madarasa haya 4 kuwa special.
Hii kuanzia afisa elimu mkoa mpaka kata yanawanyima usingizi haya madarasa.
2. Tunasoma ili tuajiriwe.
Hili kila mzazi anaweza kuwa shahidi. Wazazi wa kipato cha chini, kati mpaka cha juu katika nchi hii hutamani watoto wao waajiriwe. Utofauti ni kwamba mzazi maskini yeye anachojali mwanae aajiriwe tu hasa serikalini bila kujali kada ipi na ofisi ipi huku wazazi matajiri hutamani watoto wao waajiriwe kwenye mashirika ya umma yenye majina makubwa.
Idadi ya wasomi itaongezeka ila tusahau kuhusu uvumbuzi.
Tuendelee kukariri vya wenzetu, tafiti za ukubwani kama zile za SUA na panya magawa, mara wadudu maji moto hazina impact kubwa ulimwenguni.
Suluhisho ?
 
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko.

University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six nikahangahikia ajira kwanza, uamuzi ambao mpaka kesho naufurahia.

Turudi kwenye mada.
Tanzania tunasoma kwa malengo 2 tu.

1. Tufaulu mitihani
Ushahidi uko wazi kabisa Darasa la 4 ,7, kidato cha 4 & 6 likizo zao hazijulikani. Ingekuwa tunasoma ili tuelimike, tugundue vitu kusingekuwa na haja ya madarasa haya 4 kuwa special. Hii kuanzia afisa elimu mkoa mpaka kata yanawanyima usingizi haya madarasa.

2. Tunasoma ili tuajiriwe
Hili kila mzazi anaweza kuwa shahidi. Wazazi wa kipato cha chini, kati mpaka cha juu katika nchi hii hutamani watoto wao waajiriwe. Utofauti ni kwamba mzazi maskini yeye anachojali mwanae aajiriwe tu hasa serikalini bila kujali kada ipi na ofisi ipi huku wazazi matajiri hutamani watoto wao waajiriwe kwenye mashirika ya umma yenye majina makubwa.

Idadi ya wasomi itaongezeka ila tusahau kuhusu uvumbuzi.

Tuendelee kukariri vya wenzetu, tafiti za ukubwani kama zile za SUA na panya magawa, mara wadudu maji moto hazina impact kubwa ulimwenguni.
Mbaya zaidi watunga sera na wasimamizi wa sera za elimu ndio wakwanza kupiga makofi wakati taratibu zikivunjwa. Kwa hili jambo la likizo ni muhimu kabisa na ndio maana hata wao pia upumzika kwa kipindi kifupi, ili kuupumzisha mwili. Lakini kwa sasa naona tunakoelekea likizo zitafutwa kabisa kwa sababu wengi wa wasimamizi wa sera wamebadilika na kuwa waumini wa wavunjifu wa taratibu za kisera.
 
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko.

University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six nikahangahikia ajira kwanza, uamuzi ambao mpaka kesho naufurahia.

Turudi kwenye mada.
Tanzania tunasoma kwa malengo 2 tu.

1. Tufaulu mitihani
Ushahidi uko wazi kabisa Darasa la 4 ,7, kidato cha 4 & 6 likizo zao hazijulikani. Ingekuwa tunasoma ili tuelimike, tugundue vitu kusingekuwa na haja ya madarasa haya 4 kuwa special. Hii kuanzia afisa elimu mkoa mpaka kata yanawanyima usingizi haya madarasa.

2. Tunasoma ili tuajiriwe
Hili kila mzazi anaweza kuwa shahidi. Wazazi wa kipato cha chini, kati mpaka cha juu katika nchi hii hutamani watoto wao waajiriwe. Utofauti ni kwamba mzazi maskini yeye anachojali mwanae aajiriwe tu hasa serikalini bila kujali kada ipi na ofisi ipi huku wazazi matajiri hutamani watoto wao waajiriwe kwenye mashirika ya umma yenye majina makubwa.

Idadi ya wasomi itaongezeka ila tusahau kuhusu uvumbuzi.

Tuendelee kukariri vya wenzetu, tafiti za ukubwani kama zile za SUA na panya magawa, mara wadudu maji moto hazina impact kubwa ulimwenguni.
Ni kweli mkuu,mfumo huu hautatufikisha popote.Ni Jambo la kusikitisha kwamba hata mfumo huu wa hovyo kabisa umeshachakachuliwa,na umepitwa na wakati sana.Infact ulikuwa designed na Wazungu kama source of "slave labour." Nia haikuwa kupata wavumbuzi from the onset.

Kuna haja ya ku-design system ya kwetu based on vitendo zaidi baada ya basics za I-VII,ingawa nasikia kuna mpango wa kufuta Std.VII,which is a very bad idea indeed kama ni kweli.Tunahitaji kuimarisha STD.I-VII sio kuondoa VII!
 
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko.

University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six nikahangahikia ajira kwanza, uamuzi ambao mpaka kesho naufurahia.

Turudi kwenye mada.
Tanzania tunasoma kwa malengo 2 tu.

1. Tufaulu mitihani
Ushahidi uko wazi kabisa Darasa la 4 ,7, kidato cha 4 & 6 likizo zao hazijulikani. Ingekuwa tunasoma ili tuelimike, tugundue vitu kusingekuwa na haja ya madarasa haya 4 kuwa special. Hii kuanzia afisa elimu mkoa mpaka kata yanawanyima usingizi haya madarasa.

2. Tunasoma ili tuajiriwe
Hili kila mzazi anaweza kuwa shahidi. Wazazi wa kipato cha chini, kati mpaka cha juu katika nchi hii hutamani watoto wao waajiriwe. Utofauti ni kwamba mzazi maskini yeye anachojali mwanae aajiriwe tu hasa serikalini bila kujali kada ipi na ofisi ipi huku wazazi matajiri hutamani watoto wao waajiriwe kwenye mashirika ya umma yenye majina makubwa.

Idadi ya wasomi itaongezeka ila tusahau kuhusu uvumbuzi.

Tuendelee kukariri vya wenzetu, tafiti za ukubwani kama zile za SUA na panya magawa, mara wadudu maji moto hazina impact kubwa ulimwenguni.
Kama ulianza shule ukiwa na miaka 13 siwezi kushangaa kuja na arguments hizo. Yawezekana ulikuwa na ugonjwa wa USONJI ndiyo maana wazazi wako wakachelewa kukupeleka shule.

Hata mawazo yako yako nyuma hivyo hivyo kama ulivyochewa shule. Pole sana
 
Kama ulianza shule ukiwa na miaka 13 siwezi kushangaa kuja na arguments hizo. Yawezekana ulikuwa na ugonjwa wa USONJI ndiyo maana wazazi wako wakachelewa kukupeleka shule.

Hata mawazo yako yako nyuma hivyo hivyokm kama ulivyochewa shule. Pole sana
Huna akili timamu ndugu yangu.
Nimekuwekea sababu yet unaleta upumbavu mbwa kabisa.
Niliishi mahali ambapo shule kuipata ni km nyingi.
You are among of stupid teacher. Nahisi wewe ni mwalimu
 
Huna akili timamu ndugu yangu.
Nimekuwekea sababu yet unaleta upumbavu mbwa kabisa.
Niliishi mahali ambapo shule kuipata ni km nyingi.
You are among of stupid teacher. Nahisi wewe ni mwalimu
Wewe umesoma ukiwa umezeeka, kila wakati ulikuwa nyuma ya wenzio kwa miaka 5. Angalia sasa umeishia kuandika broken English. Kwa nini usingemaliza kwa Kiswahili tu? "

"You are among of stupid teacher"

Usingeandika kwa Kiingereza kidogo ungeficha umbumbumbu wako. Wakiitwa waliosoma, usijitokeze
 
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko.

University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six nikahangahikia ajira kwanza, uamuzi ambao mpaka kesho naufurahia.

Turudi kwenye mada.
Tanzania tunasoma kwa malengo 2 tu.

1. Tufaulu mitihani
Ushahidi uko wazi kabisa Darasa la 4 ,7, kidato cha 4 & 6 likizo zao hazijulikani. Ingekuwa tunasoma ili tuelimike, tugundue vitu kusingekuwa na haja ya madarasa haya 4 kuwa special. Hii kuanzia afisa elimu mkoa mpaka kata yanawanyima usingizi haya madarasa.

2. Tunasoma ili tuajiriwe
Hili kila mzazi anaweza kuwa shahidi. Wazazi wa kipato cha chini, kati mpaka cha juu katika nchi hii hutamani watoto wao waajiriwe. Utofauti ni kwamba mzazi maskini yeye anachojali mwanae aajiriwe tu hasa serikalini bila kujali kada ipi na ofisi ipi huku wazazi matajiri hutamani watoto wao waajiriwe kwenye mashirika ya umma yenye majina makubwa.

Idadi ya wasomi itaongezeka ila tusahau kuhusu uvumbuzi.

Tuendelee kukariri vya wenzetu, tafiti za ukubwani kama zile za SUA na panya magawa, mara wadudu maji moto hazina impact kubwa ulimwenguni.

Elimu ya tanzania inamuandaa msomi kuwa user , na si kuwa mvumbuzi
 
Ni kweli mkuu,mfumo huu hautatufikisha popote.Ni Jambo la kusikitisha kwamba hata mfumo huu wa hovyo kabisa umeshachakachuliwa,na umepitwa na wakati sana.Infact ulikuwa designed na Wazungu kama source of "slave labour." Nia haikuwa kupata wavumbuzi from the onset.

Kuna haja ya ku-design system ya kwetu based on vitendo zaidi baada ya basics za I-VII,ingawa nasikia kuna mpango wa kufuta Std.VII,which is a very bad idea indeed kama ni kweli.Tunahitaji kuimarisha STD.I-VII sio kuondoa VII!
Tunapaswa kuwekeza nguvu kubwa kwenye vyuo vya kati na siyo kama sasa
 
Mbaya zaidi watunga sera na wasimamizi wa sera za elimu ndio wakwanza kupiga makofi wakati taratibu zikivunjwa. Kwa hili jambo la likizo ni muhimu kabisa na ndio maana hata wao pia upumzika kwa kipindi kifupi, ili kuupumzisha mwili. Lakini kwa sasa naona tunakoelekea likizo zitafutwa kabisa kwa sababu wengi wa wasimamizi wa sera wamebadilika na kuwa waumini wa wavunjifu wa taratibu za kisera.
Upo sahihih sn
 
Tunapaswa kuwekeza nguvu kubwa kwenye vyuo vya kati na siyo kama sasa
Ni kweli Kanisa mkuu.Mimi naamini kwamba vitendo vianze from day one mtoto anaingia STD.I,Ila viimarishwe zaidi baada ya Std.VII,theory iwe kidogo tu ya kumsaidia mwanafunzi kwenye practicals.System ya Vyuo Vikuu ilivyo sasa is obsolete,iwe ya vitendo may be even 80%!
 
Ni kweli Kanisa mkuu.Mimi naamini kwamba vitendo vianze from day one mtoto anaingia STD.I,Ila viimarishwe zaidi baada ya Std.VII,theory iwe kidogo tu ya kumsaidia mwanafunzi kwenye practicals.System ya Vyuo Vikuu ilivyo sasa is obsolete,iwe ya vitendo may be even 80%!
Tunaenda kukaririshwa tu hakuna jipya
 
Tunaenda kukaririshwa tu hakuna jipya
Uko sahihi kabisa mkuu.Ila naomba watu wajue, kwamba si kwa bahati mbaya,it is by design,ili watu wabaki kuwa mbumbumbu.And this is all over the World.State capture agents of the NWO or if you wish the Khazarian Mafia have been infiltrated in all World Governments to do the dirty work.Ni mkakati mzito na mkubwa kuliko unavyodhani.
 
Huwezi kua na uvumbuzi chini ya serikali ambayo haiona maana ya uvumbuzi

Kama uvumbuzi na teknolojia vitakua kipaumbele cha kwanza cha serikali, kutakua na uvumbuzi na teknolojia

Niamini, shuleni tumekutana na watu wenye vipaji (akili) ambao mpaka leo hatuchoki kuwafikiria, lakini uvumbuzi wowote ule mkubwa nyuma yake kuna mkono wa Serikali, kwanzia Internet mpaka Atomic Bomb

Hao kina Newton na Einstein walitokea kwenye nchi zinazoweka kipaumbele cha kwanza kwenye Elimu, Uvumbuzi na Teknolojia

Huku tuna serikalini inayoweka kipaumbele kwenye "kushinda" uchaguzi ujao, watoto zao kuwa madarakani na bila kusahau 10% kwenye kila mradi wa hovyo watakao kuja nao..... Huwezi kua na uvumbuzi

Tatizo sio Elimu, infact Elimu yetu ni ngumu kuliko, watoto wanasoma vingi kuliko vinavyohitajika.
 
Back
Top Bottom