Kwa elimu hii ya Tanzania tusahau kuhusu uvumbuzi

Kwa nchi hii unafki ulivyo unaweza kuta hata mtoa mada naye huwa anamnunulia mtihani mwanaye kimagendo ili afaulu vizuri.

Suala hili ni complex lenye mgawanyo wa lawama kwa karibia kila muhusika.

NB: Mtu mweusi kamwe hawezi geuza mchanga/udongo kuwa mashine hata ase na PhD. Weupe peke yao ndio wanaweza.
 
B
Hoja yako sio sahihi. Kuna weusi kibao wamesoma darasa moja na weupe huko ulaya katila levo mbalimbali kuanzia degree hadi PhD lakini mzungu atavumbua kitu wakati mswahili hawezi vumbua.
Mfumo huu huu ndio unaotumika duniani kote ( elimu zinasomana) ndio maana mtu akimiza form IV/Vi/ Bachelor au Master degrees hapa anaweza jiunga A Level/ university dunia nzima na akamudu masomo .katika ngazi za elimu zinazofuata.
 
Good
 
Ni kweli,hata mimi nimesema Ulaya na Wazungu,darasa moja,ila kuna kitu usichokijua.Ni hivii, hali iko hivi Ulaya.Zipo special schools,colleges na special Universities kwa vizazi vya wagunduzi.Unakumbuka hata Tanzania tulianzisha mtindo wa special schools,lakini ziliishia njiani.Infact kwetu haiku-make sense kwa kuwa hatukuwa na "special teachers" wa kuwafukarisha.

Ulaya na Marekani vizazi hivi special vya wagunduzi vina hata special IDs,ingawa ukiangalia kwa macho ID hizo zinaonekana sawa.Mkuu ninalosema ni nini,ndio Ulaya na Marekani wote Wazungu au Blacks,lakini wapo waliochaguliwa kupelekwa special Colleges and Universities kwa ajili ya special assignments zinazohitaji IQ kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…