Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Niweke mkeka wa milion 10 wakati huo ndani nimebakiza akiba ya shingapi?Hiki ndio cha muhimu kabisa.
Watu wengi wanakuwa sana sana sana maana wanataka kutajirika kwa pesa ndogo sana yan MTU anaweka 10000/ ods 300 hapo probability ya kushinda ni ndogo sana sana.
Niwakumnushe kwa mfano match ya Yanga na Dodoma Jiji.
Yanga alipewa odd 1.41 lakini probability ya kushinda ilikuwa over 99% so ukiweka 1m unapata laki nne ndani ya DAKIKA 90 tu.
Au ukitaka probability ya 100% ungeipa Yanga apate walau goli mbili ambayo odd ilikuwa 1.3.
Ukiweka 10m unapata milioni 3 ndani ya dakika 90.
Watu tunaishi tunafamilia tunasomesha na kujenga kwa betting tu.
Bet responsibly.
Kubet ni kazi ya watu wenye akili kama huna akili nenda kijijini ukalime viazi mbatata huko.
Na hiyo milion 10 niliipataje? Si bora kutumia hiyo njia niliyotumia kupata hoyo 10M kuliko betting?
Anyway ila betting sometimes zina hamasa, kwenye zile jackpot watu wameshinda mpaka milion 100 huwa inachamgia sana kuwapa motivation vijana waingie mazima kwenye huu mchezo