Kwa faida ya wengi, Tundu Lissu aandike kitabu kuhusu harakati na changamoto anazopitia katika Uchaguzi huu

Kwa faida ya wengi, Tundu Lissu aandike kitabu kuhusu harakati na changamoto anazopitia katika Uchaguzi huu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ameweka kubadilisha sura ya siasa katika nchi yetu. Upinzani anauonyesha unelectable hamasa hata kwa wale walikata tamaa ya kupiga kura, hasa kundi la vijana. Haiku’s na maana tena ya kuwa na upinzani kwakua upinzani ulisha minywa mpaka kupoteza nguvu.

Lissu amerudisha hamasa katika siasa za upinzani. Watoto na wajukuu zetu huko mbele watapenda kusoma na kumuelewa Mwanaume aliyetoka Singida Mashariki alipitia changamoto gani mpaka kuleta mabadiliko haya.

Kilichonivutia kuwa na wazo la kuyasoma haya kwenye kitabu ni jinsi alivyopanda mtumbwi ili kufika Ukerewe baada ya Mkuu wa Wilaya kukata za kivuko kisifanye kazi kwa kisingizio cha ubovu.
 
Katusaidia Watanzania wengi elimu juu ya kupambania haki,uhuru na maendeleo ya watu. Kazi yetu ni kueneza elimu hii kwa wenzetu wengi iwezekanavyo si lazima kitabu kwa sasa.
 
Ameweka kubadilisha sura ya siasa katika nchi yetu. Upinzani anauonyesha unelectable hamasa hata kwa wale walikata tamaa ya kupiga kura, hasa kundi la vijana. Haiku’s na maana tena ya kuwa na upinzani kwakua upinzani ulisha minywa mpaka kupoteza nguvu.

Lissu amerudisha hamasa katika siasa za upinzani. Watoto na wajukuu zetu huko mbele watapenda kusoma na kumuelewa Mwanaume aliyetoka Singida Mashariki alipitia changamoto gani mpaka kuleta mabadiliko haya.

Kilichonivutia kuwa na wazo la kuyasoma haya kwenye kitabu ni jinsi alivyopanda mtumbwi ili kufika Ukerewe baada ya Mkuu wa Wilaya kukata za kivuko kisifanye kazi kwa kisingizio cha ubovu.
Kwahiyo itakuwa kila anayegaragazwa anashauliwa kutunga kitabu chenye changamoto za kugaragazwa??
 
Niko tayari kuchangia kiasi cha pesa ili kufanikisha hilo , natoa wito kwa wengine waliobarikiwa utajiri kuchangia mambo kama haya kwa faida ya vizazi vijavyo
 
Em mtu aniambie, lissu amemsaidia kitu gn kwenye maisha yake.
 
Mi nashukuru uwepo wa lissu na ubeligiji nilikopa kwenye kampuni moja ya ubeligiji naona ni mwezi wa 6 now hawanikumbushi kuhusu malipo nahisi wamefukuzwa
Jamani tunaozijua kampuni za Amsterdam tupeane mrejesho au nini mimi tu
 
Ole wake eti aandike na kitu inaitwa ameishi maisha ya uimbizi!!! Hicho kitabu nitanunua Kwa Pesa yangu na nitajirekodi nikikiwasha Moto Kwa kitendo cha kuwaongoea Taifa la waungwana
 
Huyo hawezi kuandika contents za manufaa -- anaweza tu ile fani yake ya uzushi, matusi, kejeli, pumba, uongo, unafiki, kujikweza, English kiduchu na rumors za ^Nairobi Hosp. then he was quickly airlifted to India; he's in a coma.^
 
Ameweka kubadilisha sura ya siasa katika nchi yetu. Upinzani anauonyesha unelectable hamasa hata kwa wale walikata tamaa ya kupiga kura, hasa kundi la vijana. Haiku’s na maana tena ya kuwa na upinzani kwakua upinzani ulisha minywa mpaka kupoteza nguvu.

Lissu amerudisha hamasa katika siasa za upinzani. Watoto na wajukuu zetu huko mbele watapenda kusoma na kumuelewa Mwanaume aliyetoka Singida Mashariki alipitia changamoto gani mpaka kuleta mabadiliko haya.

Kilichonivutia kuwa na wazo la kuyasoma haya kwenye kitabu ni jinsi alivyopanda mtumbwi ili kufika Ukerewe baada ya Mkuu wa Wilaya kukata za kivuko kisifanye kazi kwa kisingizio cha ubovu.
Atakufa Mch kamtikila. Bila ya kupata cho chote
 
Huyo hawezi kuandika contents za manufaa -- anaweza tu ile fani yake ya uzushi, matusi, kejeli, pumba, uongo, unafiki, kujikweza, English kiduchu na rumors za ^Nairobi Hosp. then he was quickly airlifted to India; he's in a coma.^
Usifikiri kila mmoja anawaza uteuzi kama wewe kisha awe kinyume na Lisu kwa njia haramu za kishetani, watanzania wenye Akili timamu hawawezi kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM, wanaishi kwa kujua CCM inawatesa wapinzani na ipo siku Nchi itapata uhuru toka kwa Mkoloni mweusi
 
Ole wake eti aandike na kitu inaitwa ameishi maisha ya uimbizi!!! Hicho kitabu nitanunua Kwa Pesa yangu na nitajirekodi nikikiwasha Moto Kwa kitendo cha kuwaongoea Taifa la waungwana
Taifa la waungwana ni kuwabambikia kesi watu? Ungwana ni kufunga biashara, Account, ? Kufunga biashara za watu kuwachukulia mali zao ni ungwana wa aina gani huo? Ukithubutu kuchoma kitabu kilichosheheni kero za wananchi ujue utapata uchizi hapo hapo
 
Usifikiri kila mmoja anawaza uteuzi kama wewe kisha awe kinyume na Lisu kwa njia haramu za kishetani, watanzania wenye Akili timamu hawawezi kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM, wanaishi kwa kujua CCM inawatesa wapinzani na ipo siku Nchi itapata uhuru toka kwa Mkoloni mweusi


Wewe minyoo unamaanisha Idd Amin, au!??? Mr Mzungu wenu ni dalali kama vibaraka wengine, kama hujui. Ndiyo maana sasa hivi kazi pekee anayojua ni kumzushia Mr President mauti. Asidhani anaweza kubadili chochote kwa uongo na pumba. Shame on you and your empty-headed puppet!!!
 
Tafuta title nyingine ya kumpa huyo mbakaji wa demokrasia

Usirudie tena kunijibu, sawa!??? Nakuheshimu sana tu ila Mr Mzungu wenu Mbelgiji mzushi anacheza na sharubu za simba. Mwambieni anaweza kuwa extradited muda wowote kuja kujibu mashtaka ya treason.
 
Unaniheshimu? Heshima ya mbwa yafaa nn kwa mwanadamu??

You seem to be running; but in actuality, it is the environment around you that's moving fast forward. I repeat: I respect you. This is NEVER an empty promise. Remember that! Laiti ungejua ninachojua basi ungejua maana ya kile ninachosema. Anyways, enough said. Good day & cheers 🙂
 
Back
Top Bottom