God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Ndio hiyo Chuma ya kawaida Sana spasho hiyoNgono na Pombe
BMWBIMA?
Wee unaita BMWBIMA?
HahahahahahahahBIMA ni nini?..kuhamisisha watu wasinywe pombe ni kuikosesha serikali mapato unaweza kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi..
M7 unapata spacio nzima sana.b
bei ghan iyo mkuu?
Uwache๐Ngono na Pombe
Mkuu unakaa kona gani??Umasikini ni kitu hatari Sana
yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje ?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo, angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10๐๐Watu wanaondekeza hivyo vitu ndio wananunua magari sasa, hunywi pombe, hue dekezi ngono, unanunuaje hiyo gari kwa mfano
Afanye service ya nozzle4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo ,,angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10๐๐