Kwa gari hii niliyonunua jinsi watu wanavyonipa heshima, sasa sijui ingekuaje ningenunua BIMA!

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.

Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu. Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?

Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022

 
Mkuu unakaa kona gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ