amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,265
- 12,268
πππ Bado anayo au anaugulia maumivu?4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo ,,angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Bado anayo au anaugulia maumivu?4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo ,,angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10ππ
Uwacheπ
Kama kiuana NIVYEMA kuvuta chuma mapema ,Umasikini ni kitu hatari Sana
yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje ?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Anatembea kwa TVs Sasa hataki kusikia hata ilipoπππ Bado anayo au anaugulia maumivu?
Yaani ghetto tu linanipa heshima sijui itakuwaje nikinunua na "BIMA".Umasikini ni kitu hatari Sana
yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje ?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Unamaanisha BIMA ya NHIF au JUBILEE?Umasikini ni kitu hatari Sana
yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje ?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Hiyo heshima unayopewa hapo mtaani haitoshi ukija huku kijijini kwetu Namanyere utapewa mke bure tena mtoto wa balozi wa nyumba kumiUmasikini ni kitu hatari Sana
yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje ?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo ,,angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10[emoji23][emoji23]
Mkuu hongera sana, naona umeamua kununua Baby walker, vipi wife anakaribia kujifungua nini!!??Umasikini ni kitu hatari Sana
yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje ?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Mkuu hongera sana,naona umeamua kununua Baby walker, vp wife anakaribia kujifungua nini!!??
Ndiyo itaacha kula Mafuta na kuaanza kula Maji!!?Afanye service ya nozzle
Daladala pia nayo ina rahaa yake usisau hilo!!Inasaidia TOFAUTI na kupanda daladala
parefu πM7 unapata spacio nzima sana.
Pamoja na kwamba iyo sio gari ""πππ forum nyokoPamoja na kwamba hiyo sio gari kabisa!,
Bali ni chombo cha usafiri tu, tena cha kawaida sana!.....
Kwako wewe inaonyesha bado ni mashikolo mageni!
Bado una tongotongo za ( utu kuja!)__ wise word...tenh teh!....sijaweka ushago...ili kupunguza ukali wa hilo neno........checks & balance.
Ngono ya nyokoUmasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu. Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237