Kwa gari hii niliyonunua jinsi watu wanavyonipa heshima, sasa sijui ingekuaje ningenunua BIMA!

Kama kiuana NIVYEMA kuvuta chuma mapema ,
Nlinunua FANcargo mwaka Jana nkiwa na 23, hom hawakunielewa ila mtaa ulitia salute nyingi,
Si nijambo Zur kua na kipando jap Cha bei rahis.
 
Pamoja na kwamba hiyo sio gari kabisa!,
Bali ni chombo cha usafiri tu, tena cha kawaida sana!.....

Kwako wewe inaonyesha bado ni mashikolo mageni!

Bado una tongotongo za ( utu kuja!)__ wise word...tenh teh!....sijaweka ushago...ili kupunguza ukali wa hilo neno........checks & balance.
 
Yaani ghetto tu linanipa heshima sijui itakuwaje nikinunua na "BIMA".
 
Unamaanisha BIMA ya NHIF au JUBILEE?
 
Hiyo heshima unayopewa hapo mtaani haitoshi ukija huku kijijini kwetu Namanyere utapewa mke bure tena mtoto wa balozi wa nyumba kumi
 
Mkuu hongera sana, naona umeamua kununua Baby walker, vipi wife anakaribia kujifungua nini!!??
 
Pamoja na kwamba iyo sio gari ""πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ forum nyoko
 
Ngono ya nyoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…