Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kuna mtu anakuosha matako ?Mpira sio kama kuosha matako unapotoka kunya
Unamfahamu Horoya??Kwani hata hizo 6, kwa mara ya mwisho mlimfunga nani? Na kwa nini tusiamini Makirikiri nao walipokea bahasha!
Kuna mtu nilimwambia Simba akifungwa na Asec basi shughuli itakuwa imeisha, kwasababu mechi ya Wydad vs Asec ni mtelemko wa kulipana fadhira za AFCON baina ya Morocco na Ivory coast. Ile sare ndio pona ya Simba.Duh! jamaa kama kaukwepa mpira kwa makisudi.
Angalieni video ya goli la Wydad vs ASEC, hii ilikuwa live ni FIXED MATCH...
Galaxy alipokelewa na Yanga akalazwa pale avic town. Wakapewa hadi mganga wa uto. Lakini wapi ikabumaHawakujua kuwa na sisi Simba tayari tulishaelewa na Galaxy
Wafanye mazoezi Avic, wapokeleww na Uto then wapokee bahasha, watakuwa punguaniKwani hata hizo 6, kwa mara ya mwisho mlimfunga nani? Na kwa nini tusiamini Makirikiri nao walipokea bahasha!
Kwani kosa liko wapi kufanyia mazoezi Avic Town, au kule Bunju Mo Arena? Hiyo ni fair play tu.Wafanye mazoezi Avic,wapokeleww na Uto then wapokee bahasha,watakuwa punguani
Kocha wa galaxy anawalaani uto, alikuja na mbinu zake mkampa za kwenu akaishia kushangaa, anahisi uto wamemuhujumu anadai uto na mikia lao mojaKwani kosa liko wapi kufanyia mazoezi Avic Town, au kule Bunju Mo Arena? Hiyo ni fair play tu.
Kama ni hivyo, basi ni jambo zuri pia.Kocha wa galaxy anawalaani uto,alikuja na mbinu zake mkampa za kwenu akaishia kushangaa,anahisi uto wamemuhujumu anadai uto na mikia lao moja
Mchezaji wa Asec aliporudisha mpira mwingine alikuwa na uwezo wa kufikia akauacha,hata hivo waarabu hawakushagilia na wachezaji wa Asec wala hawakusikitika kujilaumu.Mchezaji WA ASEC adui alivyopata mpira akamkimbia🤣🤣
Hii ni fixing ya wazi, mwarabu anakimbia mwenyeweKuna mtu nilimwambia Simba akifungwa na Asec basi shughuli itakuwa imeisha, kwasababu mechi ya Wydad vs Asec ni mtelemko wa kulipana fadhira za...
Huu sio uchambuzi mbona, au huelewi maana ya uchambuzi?Hapa Tanzania kila mtu akishiba akaingia Jf au media yeye ni MCHAMBUZI 😅
Sijui ni kwanini kila shabiki wa Simba akizungumzia jambo lazima aweke neno Mganga au uchawi. Sio humu tu Jf yaani hata tunaokutana nao mitaani, makazini, safarini nk mkiongea mada yoyote lazima mtu aongelee mambo ya giza. Hata maofisini wanaoendekeza mambo ya ulozi wengi hushabikia Simba.Galaxy alipokelewa na Yanga akalazwa pale avic town. Wakapewa hadi mganga wa uto. Lakini wapi ikabuma
Bahasha kabisaaAngalieni video ya goli la Wydad vs ASEC, hii ilikuwa live ni FIXED MATCH.
CAF wanapaswa kufuatilia skendo hii na kuchukua hatua kali kwa wahusika
Bahasha zinatembea hadi CAF?
View attachment 2923061
HakikaAngalieni video ya goli la Wydad vs ASEC, hii ilikuwa live ni FIXED MATCH.
CAF wanapaswa kufuatilia skendo hii na kuchukua hatua kali kwa wahusika
Bahasha zinatembea hadi CAF?
View attachment 2923061
Hata kwenye michuno ya mataifa ya Africa 2023 walikuwa wanaburuza mkia na wachache waliobaki walitolewa mapemaYaniiii wamepambana lakini wapiiiii mnyama yuleeee...waarabu wameishiwa kwa sasa..tunaenda kuwaondoa kwenye utawala tunataka mtu mweusi pure achukue hili kombe....