Kwa goli hili, Mechi ya Wydad vs ASEC ilikuwa ni Fixed Match?

Yaniiii wamepambana lakini wapiiiii mnyama yuleeee...waarabu wameishiwa kwa sasa..tunaenda kuwaondoa kwenye utawala tunataka mtu mweusi pure achukue hili kombe....
Acha ubaguzi dada, na wao wakisema wanataka mtu mweupe pure achukue hili kombe utajisikiaje kwa mfano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…