Napenda kuutumia muda huu kimshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kimaliza masomo yangu katika chuo kikuu cha dar es salaam. Pia napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuendelea kunipa pumzi ya uhai na kunijalia nguvu kwa kipindi chote cha mwaka, sitosita kumuomba Mungu atuwezeshe kuumaliza mwaka salama.
Lengo kuu la makala hii kwa kueleza mtazamo wangu kwa sisi tuliohitimu masomo yetu ya chuo Kikuu, kama ilivyokawaida baada ya kuhitimu masomo yetu kilichobaki ni kutafuta kazi ya kufanya ili tuweze kupambana na maisha either kwa kujiajiri au kwa kuajiriwa. Binafsi toka nilipohitimu masomo yangu mnamo mwezi wa sita nilianza mchakato wa kutuma maombi ya kazi na namshukuru mungu kwa kuwa niliitwa kwenye interview tano ila sikubahatika kupata kazi hata moja.
Baadaya ya kukumbana na changamoto mbalimbali maswali mengi yalinisumbua kichwa changu kubwa ni hili la kuwa nitaomba kazi hadi lini? na je nisipopata hatima ya maisha yangu itakuwa ni ipi ? Haya ndiyo yananisukuma kuandika makala hii leo kwa kuwa ninaimani wapo wanaokumbana na maswali kama hayo.
Kutokana na kufikiri huko nimefikia hitimisho la kuona ni bora kuingia katika ulimwengu wa kujiajiri kuliko kungojea kuajiriwa, hivyo kutokana na hali halisi ya mazingira yetu mwanzo wa kuanza biashara huwa ni mgumu sana endapo utakuwa unafanya peke yako ila ina unafuu endapo tutafanya kama kikundi.
Hivyo basi naomba kama kuna graduate yeyote asiyependa kuajiriwa na ambaye kwa dhati ameamua kuweka vyeti pembeni na kuingia katika ulimwengu wa kujiajiri awasiliane nami ili tuunde kikundi ambacho tutaanzisha biashara na kila mtu atakuwa na share yake. Binafsi Mimi ni mchaga kwa kabila na nimefanya biashara kwa muda mrefu as a part time wakati nikiwa chuo hivyo ninauzoefu na hii kazi na nina imani endapo tukiwa group itakuwa ni rahisi kupata mkopo, kufanya marketing na kusupply na ninaimani we will make a lot of money only if we will be serious na tutasahau kutembea na bahasha kuomba kazi.
Nahitaji vijana watano tu ambao wapo serious na wenye lengo la dhati la kujiajiri wenyewe. Naomba kwa aliyetayari ani PM aweke na namba zake za simu ili tuweze kuwasiliana.
"KWA NINI USOME THEN UKAAJIRIWE NA SIO KUJIAJIRI?" we need to change our mindset.
Lengo kuu la makala hii kwa kueleza mtazamo wangu kwa sisi tuliohitimu masomo yetu ya chuo Kikuu, kama ilivyokawaida baada ya kuhitimu masomo yetu kilichobaki ni kutafuta kazi ya kufanya ili tuweze kupambana na maisha either kwa kujiajiri au kwa kuajiriwa. Binafsi toka nilipohitimu masomo yangu mnamo mwezi wa sita nilianza mchakato wa kutuma maombi ya kazi na namshukuru mungu kwa kuwa niliitwa kwenye interview tano ila sikubahatika kupata kazi hata moja.
Baadaya ya kukumbana na changamoto mbalimbali maswali mengi yalinisumbua kichwa changu kubwa ni hili la kuwa nitaomba kazi hadi lini? na je nisipopata hatima ya maisha yangu itakuwa ni ipi ? Haya ndiyo yananisukuma kuandika makala hii leo kwa kuwa ninaimani wapo wanaokumbana na maswali kama hayo.
Kutokana na kufikiri huko nimefikia hitimisho la kuona ni bora kuingia katika ulimwengu wa kujiajiri kuliko kungojea kuajiriwa, hivyo kutokana na hali halisi ya mazingira yetu mwanzo wa kuanza biashara huwa ni mgumu sana endapo utakuwa unafanya peke yako ila ina unafuu endapo tutafanya kama kikundi.
Hivyo basi naomba kama kuna graduate yeyote asiyependa kuajiriwa na ambaye kwa dhati ameamua kuweka vyeti pembeni na kuingia katika ulimwengu wa kujiajiri awasiliane nami ili tuunde kikundi ambacho tutaanzisha biashara na kila mtu atakuwa na share yake. Binafsi Mimi ni mchaga kwa kabila na nimefanya biashara kwa muda mrefu as a part time wakati nikiwa chuo hivyo ninauzoefu na hii kazi na nina imani endapo tukiwa group itakuwa ni rahisi kupata mkopo, kufanya marketing na kusupply na ninaimani we will make a lot of money only if we will be serious na tutasahau kutembea na bahasha kuomba kazi.
Nahitaji vijana watano tu ambao wapo serious na wenye lengo la dhati la kujiajiri wenyewe. Naomba kwa aliyetayari ani PM aweke na namba zake za simu ili tuweze kuwasiliana.
"KWA NINI USOME THEN UKAAJIRIWE NA SIO KUJIAJIRI?" we need to change our mindset.