Kwa hali hii hata kama huyu kijana ana akili, uonevu umepitiliza

Kwa hali hii hata kama huyu kijana ana akili, uonevu umepitiliza

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Huyu ni jamaa nilikuwa nimesoma naye shule ya msingi na sekondari, huyu jamaa kweli alikuwa ana akili sana, sasa nimekutana naye juzi kati duh! maisha yake tuliotegemea ayaishi sio yale niliyomuona naye, basi tumekaa naye akanisumulia mapito yake. Kiukweli nilijikuta machozi yananitoka from no where. Huu ni mfano wa mateso ambayo kijana mwenye ndoto na akili anapitia afrika.

Kwasababu ameonekana darasani ana akili na ni handsome yamemkuta haya:-

1. Kapigwa jini mahaba ambaye alikuwa anafanya naye mapenzi usiku na kwa usiku mmoja anamwaga hata mara 5 pasipo kuona shahawa zake. Mbaya zaidi kesho awe na appointment na msichana usiku lazima atumikishwe kingono haswa mpaka wahakikishe hayo mahusiano hayatafanikiwa, akiwa na mwanamke basi huyo jini humtokea huyo mwanamke na kumpa onyo kali kisha akiamka mwanamke anaweza akavimba uso na macho gafla.

2. Wachawi haijatosha wameamua kumuharibu uso na kumuoteshea uvimbe usoni kwa kijana wa watu handsome, kijana anadai kafanya operation mara 5 ila uvimbe unarudi pale pale.

3. Kija wamemfunga hasioe na asiwe na familia mpaka sasa.

4. Kupitia kuzini majini mahaba safari yake ya elimu imekuwwa mwiba kiasi kwamba alianza kusoma kwa shida form 5 na 6 kwenye mazingira magumu mno.

5. Alijikuta ana postpone elimu ya chuo kikuu zaidi ya mara 4 kwasababu ya shida zinazojitokeza tu pasipo yeye kutarajia.

7. Kamamaliza masomo yake kwa shida, kwenye kazi ndio wamemfunga kijana wa watu hata kila akiomba chochote hakuna anayemsikiliza.

Nimemshauri alale kanisani kwenye maombi. hakika Dunia ni hadaa

Aisee sio kila mtu mwenye maisha ya chini ni maisha yake wengine wametengenezewa mzee...

Afrika tutaendeleaje kama watu wenye akili na nyota ndio huchukiwa namna hii?
 
Kitu cha kumsaidia mwambie akae mbali na UZINZI.

ukishakuwa na akili za darasani unabidi usibweteke kwa kuona umetoboa you need to invest more in yourself mainly in self-improvement.

Vijana wengi huwa wanakuwa vulnerability Kirahisi Sana maana akili ya darasani inabidi kubebwa na akili ya kujitambua 'sense of who you are'

Unapokuwa smart shuleni lazima utafatwa na wanawake Sana so sio kila mwanamke unabidi kufanya nae ngono hapo ndo vipanga wanapoangukia they can't handle two things.


Pia mwambie atumie chumvi ya mawe itamsaidia .

Aanze kuondoa mawazo kuwa kalogwa au katupiwa jini aanze kufanya self -healing kwa kufanya Declaration over his life .
 
Hizo fikra ndio adui yake Mkuu, masuala mengine ni ya kitabibu tu kama huo uvimbe.
Kumbuka kafanyiwa operation mara 5 tena sio hospitals ndogo ni kubwa za gharama...kwa mtazamo wangu kuja jambo limejificha nyuma kwasababu wakati tunasoma naye primary hakuwa na uvimbe wowote ila kuanzia secondary alikuwa na kilianza kama upele eti ndio imempelekea mauvimbe makubwa..duh kuna mkono wa mtu Aisee
 
Huyu ni jamaa nilikuwa nimesoma naye shule ya msingi na secodory,huyu jamaa kweli alikuwa ana akili sana,sasa nimekutana naye juzi kati duh!maisha yake tuliotegemea ayaishi sio yale niliyomuona naye,basi tumekaa naye akanisumulia mapito yake..kikweli nilijikuta machozi yananitoka from no where ....Huu ni mfano wa mateso ambayo kijana mwenye nyoto na akili anapitia afrika.

Kwasababu ameonekana darasani anakili na ni handsome yamemkuta haya:-

1.kapigwa jini mahaba ambaye alikuwa anafanya naye mapenzi usiku na kwa usiku mmoja anamwaga hata mara 5 pasipo kuona shahawa zake..mbaya zaidi kesho awe na appointment na msichana usiku lazima atumikishe kingono haswa mpaka wahakikishe hayo mahusiano hayatafanikiwa...akiwa na mwanamke basi huyo jini humtokea huyo mwanamke na kumpa onyo kali kisha akiamka mwanamke anaweza akavimba uso na macho gafla.
2.Wachawi haijatosho wameamua kumuharibu uso na kumuoteshea uvimbe usoni kwa kijana wa watu handsome..kijaa anadai kafanya operation mara 5 ila uvimbe urudi pale pale.
3.Kija wamemfunga hasioe na asiwe na familia mpaka sasa.
4.Kupitia kuzini majini mahaba safari yake ya elimu imekuwwa mwiba kiasi kwamba alianza kusoma kwashida form 5 na 6 kwenye mazingira magumu mno.
5.Alijikuta ana postpond elimu ya chuo kikuu zaidi ya mara 4 kwasababu ya shida zinazojitokeza tu pasipo yeye kutarajia.
7.kamamaliza masomo yake kwa shida,kwenye kazi ndio wamemfunga kijana wa watu hata kila akiomba chochote hakuna anayemsikiliza.

Nimemshauri alale kanisani kwenye maombi..hakika Dunia ni hadaa

Aisee sio kila mtu mwenye maisha ya chini ni maisha yake wengine wametengenezewa mzee...

Afrika tutaendeleaje kama watu wenye akili na nyota ndio huchukiwa namna hii?
akili za maskini bhana😂😂😂😂
 
Kitu cha kumsaidia mwambie akae mbali na UZINZI.

ukishakuwa na akili za darasani unabidi usibweteke kwa kuona umetoboa you need to invest more in yourself mainly in self-improvement.

Vijana wengi huwa wanakuwa vulnerability Kirahisi Sana maana akili ya darasani inabidi kubebwa na akili ya kujitambua 'sense of who you are'

Unapokuwa smart shuleni lazima utafatwa na wanawake Sana so sio kila mwanamke unabidi kufanya nae ngono hapo ndo vipanga wanapoangukia they can't handle two things.


Pia mwambie atumie chumvi ya mawe itamsaidia .

Aanze kuondoa mawazo kuwa kalogwa au katupiwa jini aanze kufanya self -healing kwa kufanya Declaration over his life .
Ila usimuhukumu hivyo kirahisi natamani hayo matatizo tukugeuzia alafu uje ukoment sasa..ukae nayo na wewe..jamaa anatatia huruma sana na alikuwa sio mtu wa demu ni mtu namfahamu vizuri ila ya Mungu mengi bado haujamaliza safari ya Duniani mzee
 
Kumbuka kafanyiwa operation mara 5 tena sio hospitals ndogo ni kubwa za gharama...kwa mtazamo wangu kuja jambo limejificha nyuma kwasababu wakati tunasoma naye primary hakuwa na uvimbe wowote ila kuanzia secondary alikuwa na kilianza kama upele eti ndio imempelekea mauvimbe makubwa..duh kuna mkono wa mtu Aisee
Kuna dada namjua tokea niko mdogo hadi leo amefanya oparesheni za kuondosha uvimbe ulioko kwenye eneo la sikio itakuwa imeshafika mara 20+.

Acheni mawazo mgando, nyie ndio mnaotakiwa kumsaidia huyo dogo.
 
MTU anapokuwa na tatizo asiseme kalogwa aanze na kutazama tatizo lenyewe .

Uchawi upo overrated then ukiona unalogwa maana yake wewe mwenyewe kuna tatizo.
 
Duh! Yule jini mahaba wa Jamaa Ni hatari Sana dadeeki 🤔

Anammwagisha jamaa mara 5 kwa usiku mmoja🤔
Aisee mimi ilikuwa siaminigi habari ya majini mahaba kumbe ni jambo sereous na linaumiza pia aisee..najiuliza hawezi kumchenjia kule na kumpiga mbaya huyo jini mahaba?
 
Back
Top Bottom