Kwa hali hii hata kama huyu kijana ana akili, uonevu umepitiliza

Kwa hali hii hata kama huyu kijana ana akili, uonevu umepitiliza

Kumbuka kafanyiwa operation mara 5 tena sio hospitals ndogo ni kubwa za gharama...kwa mtazamo wangu kuja jambo limejificha nyuma kwasababu wakati tunasoma naye primary hakuwa na uvimbe wowote ila kuanzia secondary alikuwa na kilianza kama upele eti ndio imempelekea mauvimbe makubwa..duh kuna mkono wa mtu Aisee
Wewe ndiyo unampoteza kabisa kwa mawazo yako ya kipuuzi.
 
Mtu yeyote anayesema duniani hapa hakuna uchawi basi mtu huyo ni mshirikina wa kiwango Cha juu kabisakabisa...

Mpe pole mkuu mwambie apende kujipaka na kunywa mafuta ya mzeituni itamsaidia, hiyo ni kama dawa ya kupunguza makali ya ugonjwa...
 
Huyu ni jamaa nilikuwa nimesoma naye shule ya msingi na sekondari, huyu jamaa kweli alikuwa ana akili sana, sasa nimekutana naye juzi kati duh! maisha yake tuliotegemea ayaishi sio yale niliyomuona naye, basi tumekaa naye akanisumulia mapito yake. Kiukweli nilijikuta machozi yananitoka from no where. Huu ni mfano wa mateso ambayo kijana mwenye ndoto na akili anapitia afrika.

Kwasababu ameonekana darasani ana akili na ni handsome yamemkuta haya:-

1. Kapigwa jini mahaba ambaye alikuwa anafanya naye mapenzi usiku na kwa usiku mmoja anamwaga hata mara 5 pasipo kuona shahawa zake. Mbaya zaidi kesho awe na appointment na msichana usiku lazima atumikishwe kingono haswa mpaka wahakikishe hayo mahusiano hayatafanikiwa, akiwa na mwanamke basi huyo jini humtokea huyo mwanamke na kumpa onyo kali kisha akiamka mwanamke anaweza akavimba uso na macho gafla.

2. Wachawi haijatosha wameamua kumuharibu uso na kumuoteshea uvimbe usoni kwa kijana wa watu handsome, kijana anadai kafanya operation mara 5 ila uvimbe unarudi pale pale.

3. Kija wamemfunga hasioe na asiwe na familia mpaka sasa.

4. Kupitia kuzini majini mahaba safari yake ya elimu imekuwwa mwiba kiasi kwamba alianza kusoma kwa shida form 5 na 6 kwenye mazingira magumu mno.

5. Alijikuta ana postpone elimu ya chuo kikuu zaidi ya mara 4 kwasababu ya shida zinazojitokeza tu pasipo yeye kutarajia.

7. Kamamaliza masomo yake kwa shida, kwenye kazi ndio wamemfunga kijana wa watu hata kila akiomba chochote hakuna anayemsikiliza.

Nimemshauri alale kanisani kwenye maombi. hakika Dunia ni hadaa

Aisee sio kila mtu mwenye maisha ya chini ni maisha yake wengine wametengenezewa mzee...

Afrika tutaendeleaje kama watu wenye akili na nyota ndio huchukiwa namna hii?
Na ukamuunga mkono..!!
 
Huyu ni jamaa nilikuwa nimesoma naye shule ya msingi na sekondari, huyu jamaa kweli alikuwa ana akili sana, sasa nimekutana naye juzi kati duh! maisha yake tuliotegemea ayaishi sio yale niliyomuona naye, basi tumekaa naye akanisumulia mapito yake. Kiukweli nilijikuta machozi yananitoka from no where. Huu ni mfano wa mateso ambayo kijana mwenye ndoto na akili anapitia afrika.

Kwasababu ameonekana darasani ana akili na ni handsome yamemkuta haya:-

1. Kapigwa jini mahaba ambaye alikuwa anafanya naye mapenzi usiku na kwa usiku mmoja anamwaga hata mara 5 pasipo kuona shahawa zake. Mbaya zaidi kesho awe na appointment na msichana usiku lazima atumikishwe kingono haswa mpaka wahakikishe hayo mahusiano hayatafanikiwa, akiwa na mwanamke basi huyo jini humtokea huyo mwanamke na kumpa onyo kali kisha akiamka mwanamke anaweza akavimba uso na macho gafla.

2. Wachawi haijatosha wameamua kumuharibu uso na kumuoteshea uvimbe usoni kwa kijana wa watu handsome, kijana anadai kafanya operation mara 5 ila uvimbe unarudi pale pale.

3. Kija wamemfunga hasioe na asiwe na familia mpaka sasa.

4. Kupitia kuzini majini mahaba safari yake ya elimu imekuwwa mwiba kiasi kwamba alianza kusoma kwa shida form 5 na 6 kwenye mazingira magumu mno.

5. Alijikuta ana postpone elimu ya chuo kikuu zaidi ya mara 4 kwasababu ya shida zinazojitokeza tu pasipo yeye kutarajia.

7. Kamamaliza masomo yake kwa shida, kwenye kazi ndio wamemfunga kijana wa watu hata kila akiomba chochote hakuna anayemsikiliza.

Nimemshauri alale kanisani kwenye maombi. hakika Dunia ni hadaa

Aisee sio kila mtu mwenye maisha ya chini ni maisha yake wengine wametengenezewa mzee...

Afrika tutaendeleaje kama watu wenye akili na nyota ndio huchukiwa namna hii?
Nchi ina utajiri wa mitume na manabii.
kwa nini asiende huko
au kwa sbb ni mgonjwa wa ukweli kweli!
 
Mtu yeyote anayesema duniani hapa hakuna uchawi basi mtu huyo ni mshirikina wa kiwango Cha juu kabisakabisa...

Mpe pole mkuu mwambie apende kujipaka na kunywa mafuta ya mzeituni itamsaidia, hiyo ni kama dawa ya kupunguza makali ya ugonjwa...
Ni kweli aisee wachawi wanaosababisha mateso kwa watu wengine tupo nao humu humu na wengine ni watu wa karibu sana..ndio hao wenye comments ya kikatili sana dhidi ya mateso ya watu wengine.
 
Huyu ni jamaa nilikuwa nimesoma naye shule ya msingi na sekondari, huyu jamaa kweli alikuwa ana akili sana, sasa nimekutana naye juzi kati duh! maisha yake tuliotegemea ayaishi sio yale niliyomuona naye, basi tumekaa naye akanisumulia mapito yake. Kiukweli nilijikuta machozi yananitoka from no where. Huu ni mfano wa mateso ambayo kijana mwenye ndoto na akili anapitia afrika.

Kwasababu ameonekana darasani ana akili na ni handsome yamemkuta haya:-

1. Kapigwa jini mahaba ambaye alikuwa anafanya naye mapenzi usiku na kwa usiku mmoja anamwaga hata mara 5 pasipo kuona shahawa zake. Mbaya zaidi kesho awe na appointment na msichana usiku lazima atumikishwe kingono haswa mpaka wahakikishe hayo mahusiano hayatafanikiwa, akiwa na mwanamke basi huyo jini humtokea huyo mwanamke na kumpa onyo kali kisha akiamka mwanamke anaweza akavimba uso na macho gafla.

2. Wachawi haijatosha wameamua kumuharibu uso na kumuoteshea uvimbe usoni kwa kijana wa watu handsome, kijana anadai kafanya operation mara 5 ila uvimbe unarudi pale pale.

3. Kija wamemfunga hasioe na asiwe na familia mpaka sasa.

4. Kupitia kuzini majini mahaba safari yake ya elimu imekuwwa mwiba kiasi kwamba alianza kusoma kwa shida form 5 na 6 kwenye mazingira magumu mno.

5. Alijikuta ana postpone elimu ya chuo kikuu zaidi ya mara 4 kwasababu ya shida zinazojitokeza tu pasipo yeye kutarajia.

7. Kamamaliza masomo yake kwa shida, kwenye kazi ndio wamemfunga kijana wa watu hata kila akiomba chochote hakuna anayemsikiliza.

Nimemshauri alale kanisani kwenye maombi. hakika Dunia ni hadaa

Aisee sio kila mtu mwenye maisha ya chini ni maisha yake wengine wametengenezewa mzee...

Afrika tutaendeleaje kama watu wenye akili na nyota ndio huchukiwa namna hii?
Mwambie azipuuzie imani za kufikirika na asi-over think mambo., ni kawaida kwa watu wenye akili sana kuishi na sonona kwa sababu wanayaelewa mambo kwa undani sana kiasi kwamba akiongea na watu wenye akili ndogo hawawezi kumuelewa.
 
Mwambie azipuuzie imani za kufikirika na asi-over think mambo., ni kawaida kwa watu wenye akili sana kuishi na sonona kwa sababu wanayaelewa mambo kwa undani sana kiasi kwamba akiongea na watu wenye akili ndogo hawawezi kumuelewa.
nikweli..nitamshauri jamaa
 
Back
Top Bottom