chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
- Thread starter
- #21
Hahaa Unamaanisha kumsikia? Mzee hii haihitaji kumsikia, common sense tu, labda Kama haunawe kwani umeona yeye kalalamika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa Unamaanisha kumsikia? Mzee hii haihitaji kumsikia, common sense tu, labda Kama haunawe kwani umeona yeye kalalamika?
Aje chadema hayo mambo ya ruzuku wataewane tu, zitto vipi? We mjanja huoniBasi asingehamia Upinzani Kama alikuwa analijua Hilo au wangeungana na wenzao wa Chadema, Ila naona ego yake kubwa ndio imemponza
Ndiyo maana nchi haina maendeleo kuwa na majasusi wa namna hiiPumzi imekata kabla hata mbio hazijaanza, Huyu uchaguzi ukipita tu Atakuwa anatambaa, Alijiona ana influence na anaweza kuishi nje ya mfumo mtu ameingia ndani ya sytem tangu yupo chuo hajui shida uyo sasa akahisi atapata uungwaji mkono hata akiwa nje ya system hahah, Jasusi gani sasa uyo anashindwa ata kufanya forecast haoni kina mzee wa Msoga na Mzee wa kuwinda Tembo wametulia tuli wanajua ukiwa nje ya mfumo huna impact yoyote ile, ameanza kuona uhalisia sasa hapati ata asilimia 3 y kula huyo. Btw Mtoto hata aondoke nyumbani kwa Hasira akirudi hatuwezi kumfukuza ila sharti amuombee baba mwenye nyumba msamaha, JPM mitano tena
Basi asingehamia Upinzani Kama alikuwa analijua Hilo au wangeungana na wenzao wa Chadema, Ila naona ego yake kubwa ndio imemponza
Sijaelewa Ni kuwa ACT hawampi support ya kutosha au VIP?
Yaani Hili ndio Liwe jukwaa la mgombea Urais kweli? Tena aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje?
Haya maisha yanaweza kumshinda kabla hata kampeni hazijaisha
View attachment 1559836View attachment 1559837
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo itafika time tuta mpa ile Microphone yenye speaker hapo hapo
Hata ivo wao ni bora zaidi ya dalali wa mabuzi dume!membe na magufuli wanasumbuliwa na ugonjwa wa kujiona bora kuliko wote.
Kwa mujibu wa chadema huyo ni jasusi mbobevu ukimgusa ananuka na jiwe hana la kumfanya na ndie mgombea wa ccm 2020 utake usitake, jiwe ajiandae kurudi chato.
"alisikika taahira mmoja kutoka ufipa"
Ruzuku walishindwa kuionja waliomo sembuse wakuja!Aje chadema hayo mambo ya ruzuku wataewane tu, zitto vipi? We mjanja huoni
Wewe ndio umekaa pembeni yake kama mlinzi wake nini na miwani yako meusi ya Jua uliyonunua kwa machinga?Acha kumsidhalilisha Rais wetu mtaarajiwa kaa na ccm yako pilipili ya shamba mjini inakuwashia sisi ni wazarendo, kujaza watu sio inshu kwetu na kura ni siri ya mtu.
Dogo mind your business, ya upinzani hayakuhusuRuzuku walishindwa kuionja waliomo sembuse wakuja!
Mkuu, umeongea big point. Huu ni ukweli mchungu kwa maccm yote.Yaani nashukuru cdm waligoma kuungana na huyu mzee wa ccm, vinginevyo hii idadi ya watu anaopata Lisu, ccm wangesema cdm ilikuwa imekufa, lakini uwepo wa Membe ndio umeleta watu. Kuna watu huwa ninawaambia kabisa hata mafuriko ya Lowassa hayakumfuta Lowassa, bali Lowassa ndio alifuata kundi la mabadiliko ambalo liko cdm. Iwapo Lowassa angekosea ile 2015 aende chama kingine nje ya cdm, angepata aibu kuliko hii ya Membe. Hata sifa wanayopata ACT ni kwa ajili ya uwepo wa Maalim Seif huko Zanzibar. Wafuasi wa upinzani wa kweli wako cdm kwa huku bara. Ile nyomi ya Membe kule Zanzibar alitembelea nyota ya Seif, ukweli huu Zito alikuwa anaujua ndio maana alikuwa anang'ang'ania muungano na cdm huku bara.
ZilipendwaHata ivo wao ni bora zaidi ya dalali wa mabuzi dume!
Budy be serious plsMembe uwezo wa kufanya kampeni kubwa anao, pesa za Gadaffi bado zipo, hiyo naamini ni strategy wameamua kumuacha Lissu amtandike Magufuli vizuri.