Uchaguzi 2020 Kwa hali hii, Membe anaweza kurudi CCM kabla hata kampeni hazijaisha

Uchaguzi 2020 Kwa hali hii, Membe anaweza kurudi CCM kabla hata kampeni hazijaisha

Katika ground ipi, weka free and fair election, saa 10 jioni tu CCM Out.
Na mikoa itakayoongoza kumkaanga ni:-
Kagera, Mara, Arusha, Kilimanjaro, Lindi, Mtwara, Mbeya, Kigoma,..
Ndio maana unaona hujuma kila kukicha...
Acha kujidanganya bwana mdogo, ebu chukua mikoa yote ya nchi hii kisha toa hiyo mikoa nane uliyoitaja ndo utapata jibu lako,

alafu kingine hao unaowaita sijui jumuiya ya kimataifa hawana cha kukusaidia kumbuka pia nao wanaona kwenye mitandao vile vile na aswa ata kama magu atahutubia kwenye kata au mtaa mdogo,ni must irushwe live dunia nzima ione,

na bahati nzuri au mbaya nyomi ya vimikutano vidogo vidogo anvyosimamishwa njiani huyo unayemuita meko ndivyo vinaweza kulingana na kupita nyomi za kiduku wenu mikoa ambayo unaona anakubalika.

Punguzeni ukibaraka wehu nyie.sana sana mabeberu yenu yaje kuwasaidia ili kurudisha hela walizo wapa kwenye huu uchaguzi.
 
Katika ground ipi, weka free and fair election, saa 10 jioni tu CCM Out.
Na mikoa itakayoongoza kumkaanga ni:-
Kagera,Mara,Arusha,Kilimanjaro,Lindi,Mtwara,Mbeya,Kigoma,..
Ndio maana unaona hujuma kila kukicha.
Tunakumbusha tu kuwa uchaguzi huu unamulikwa na jumuia ya kimataifa kwa karibu, kama kutakuwa na uonevu na ukathibitika tujianda kukabiliana na shinikizo zito linaloweza kutuathiri.
Yaani nchi ina mikoa 30 wewe unataja mikoa minane (8) unajipa tumaini la kushinda!?

Tena na hiyo uliyotaja hamna hata uhakika hata wa kushinda kwa zaidi ya 60% mkijitahidi sana ni 50 kwa 50

Mikoa yenyewe uliyotaja kama Lindi na Mtwara ngome ya CUF ambayo imebomolewa na ACT na unasikie daily wagombea wa ACT wanajitoa na kurudi CCM!

Achani kujipa matumaini ya bure shehe!
 
Membe kachukuwa misq risks..Aliamini Lissu ataenguliwa na tume na angeweza kupata mtaji wa CDM. Calcuoations nyengine ni kuwa amuunge mkono Lissu dakika za mwisho ili Lissu atakaposhinda CCM wamuombe arudi kuiokowa, na possibility nyengine ni kuwa apewe fupa la.wizara nyeti kuiongoza na Lissu.
Membe sio mjinga hivyo. Anajua kabisa Lissu hawezi kupita hata kama wazungu wake wakimbeba mgongoni. Yaani hata kama akishinda kihalali, hawezi kutangazwa. Ni sawa na Maalim na ZNZ.

Itahitaji Marekani ianzishe vita kama walivyofanya mataifa mengine kupindua serikali na jeshi. Na Marekani haianzishi vita kwakuwa inampenda mgombea fulani au raia wake, kwamba wanataka waletee uhuru. Marekani inalianzish kama kuna kitu cha msingi wanategemea kuvuna wakati mnakimbia kimbia kukwepa mabomu. Hapa kwetu tuna nini wanachohitaji??? Isitoshe Marekani nae anauchaguzi November hii, na raisi wao yamemfika shingoni.

Wabelgiji hakuna anayewajua zaidi ya Lissu. Yaani ni taifa ambalo lenyewe tu halijielewi na watu wake wamegawanyika kikabila. Ndo the only western democracy ambayo inakaaga hadi mwaka bila serikali sababu ya tofauti zao za kikanda.
Kwa Ulaya, Ubelgiji haina ushawishi wa kuwashawishi mataifa makubwa kama Germany, UK, na France watuvamie. Huko Ulaya hali ni hoi kwa sasa. Korona imewavuruga kiuchumi na Muungano wao wa jumuia ya Ulaya umewashindwa.

Jeshi haliwezi kumsapoti Lissu hata siku moja. Sioni kabisa CDF akimuunga mkono TL over Magu. Yaani ndo tutashuhudia mapinduzi ya kijeshi kwa mara ya kwanza Tanzania.

Kwahiyo kama humtaki Magu na hutaki kura yako ipotee, chagua mzee Rungwe na CHAUMMA.
Huyu mzee akipata kura zakutosha, sera yake ya ubweche inaweza tekelezwa na Magu. Maana tumeshuhudia Magu alitekeleza mambo mengi yaliyopigiwa kelele na ACT, CUF na CDM baada ya 2015.
 
Back
Top Bottom