Uchaguzi 2020 Kwa hali hii, Membe anaweza kurudi CCM kabla hata kampeni hazijaisha

Uchaguzi 2020 Kwa hali hii, Membe anaweza kurudi CCM kabla hata kampeni hazijaisha

Zito alipiga hesabu vibaya, alidhani membe ni asset bara, muhimu angeungana na CDM waachiane wabunge uraisi wamsapoti Lisu. Ila znz ACT hawana shaka saa 4 mapema asubui.
 
Sijaelewa ni kuwa ACT Wazalendo hawampi support ya kutosha?

Yaani hili ndio liwe jukwaa la mgombea Urais kweli? Tena aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje?

Haya maisha yanaweza kumshinda kabla hata kampeni hazijaisha.

View attachment 1559836View attachment 1559837
Ukweli ni kuwa hana wafadhili ndo maana akina Zitto hawahangaiki naye.

Maalim ana waarabu wake, wanaoitaka ZNZ miaka nenda rudi, ndo maana mambo yake ni levo nyingine. Na waliohamaga ACT walisema, Maalim anacontrol pesa zake mwenyewe, hajaziwasilisha chamani. Kwahiyo ACT ZNZ inajitegemea.
Na usishangae baada ya uchaguzi Maalim akaanzisha chama chake ZNZ. Hapa alijiunga tu vile muda ulikuwa mchache.

Kwakifupi, Membe amejionea mwenyewe kuwa Mkono mtupu HAULAMBWI.
 
Hapo umeongea kweli. Lkn ngumu sana. Chadema wenyewe wanaukata. Sasa upinzani hatuwezi kuua namna unayo sema. Kumbuka mtawala alipata mali nyingi zilizopatikana wakati tulipokua chama kimoja.
Sasa labda useme tawala agawane mali hizo na wapinzani maana amefaidika bila jasho.tangu mfumo huu unaanza.
Ni kama mtoto arithi mijimali kutoka kwa baba tajiri mama tajiri then mtoto mwingine masikini kabisa yaani. Kweli hawa watashindwanishwa ki fair kweli ??
Bondia wa kilo 100 za uzito huwezi mpa pambano na bondia wa kilo 50 za uzito.
Mbona Kuna tawala zilikuwa za kibabe kuliko hata CCM na zikaanguka, Ni strategy tu, japo hawawezi kufanikiwa kuiangusha ndani ya uchaguzi huu,
 
Mbona Kuna tawala zilikuwa za kibabe kuliko hata CCM na zikaanguka, Ni strategy tu, japo hawawezi kufanikiwa kuiangusha ndani ya uchaguzi huu,
Hapo sasa nimeungana na wewe. Tuko pamoja.
Ila ile wakajiunge utawalani?! hata wa kupanga hizo strategy hatapatikana.
 
ACT wangemuunga Lissu mkono bara.

Chadema wangemuunga mkojo Maalimu Zanzibar.
 
Yaani nashukuru cdm waligoma kuungana na huyu mzee wa ccm, vinginevyo hii idadi ya watu anaopata Lisu, ccm wangesema cdm ilikuwa imekufa, lakini uwepo wa Membe ndio umeleta watu. Kuna watu huwa ninawaambia kabisa hata mafuriko ya Lowassa hayakumfuta Lowassa, bali Lowassa ndio alifuata kundi la mabadiliko ambalo liko Chadema.

Iwapo Lowassa angekosea ile 2015 aende chama kingine nje ya cdm, angepata aibu kuliko hii ya Membe. Hata sifa wanayopata ACT ni kwa ajili ya uwepo wa Maalim Seif huko Zanzibar.

Wafuasi wa upinzani wa kweli wako cdm kwa huku bara. Ile nyomi ya Membe kule Zanzibar alitembelea nyota ya Seif, ukweli huu Zito alikuwa anaujua ndio maana alikuwa anang'ang'ania muungano na cdm huku bara.
Kwa akili hizi mtsendelea kugongwa risasi mpaka za puru
 
Nilalamike kwani Mimi ndio naumbuka Huko vijijini?
Chaggadomo ni chama chenye mifuasi ya hovyo sana.

Kwa hali hii CCM utakung'uta marisasi mpaka basi.

Hicho chama ni kama hakina ruzuku na huu ni uchaguzi wake wa pili kushiriki, wewe unataka kulinganisha na CHADEMA yenye miaka 20?

Ishtoshe hata Chaggadomo watu wanaiunga mkono kwa kuwa wamechoka tu CCM na siyo kwamba ni chama cha maana
 
Membe kachukuwa misq risks..Aliamini Lissu ataenguliwa na tume na angeweza kupata mtaji wa CDM. Calcuoations nyengine ni kuwa amuunge mkono Lissu dakika za mwisho ili Lissu atakaposhinda CCM wamuombe arudi kuiokowa, na possibility nyengine ni kuwa apewe fupa la.wizara nyeti kuiongoza na Lissu.
 
Siasa ngumu sana.
Zitto alijua anakwenda kuiua Chadema
Na kuna wajinga wa CCM humu walisema CDM imekufa, mara haitakuwa kambi rasmi ya upinzani.
Sasa hivi unawacheki NCCR hoiii,ACT bara daaah, CUF atleast anajitutumua akiwa na dhambi ya usaliti mzito.
Mitano tena SASA BASI
 
Sijaelewa ni kuwa ACT Wazalendo hawampi support ya kutosha?

Yaani hili ndio liwe jukwaa la mgombea Urais kweli? Tena aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje?

Haya maisha yanaweza kumshinda kabla hata kampeni hazijaisha.

View attachment 1559836View attachment 1559837

Kwani hilo jukwaa linamnyima nini? wewe ndo unaona anataabika lakini yeye hana shida. Hivi kwa nini yule wakwenu anaogopa kushuka hata kwenye gari? Anahutubia akiwa kwenye gari au majukwaa yamekosekana?
 
Na kama wangeungana Membe akasimamishwa, CDM ingepoteza wapiga kura ambao ni wanachama, tangu itokee issue ya Lowasa na Sumaye, wanachama wana hasira.
Huwa hawafikiri mbali, walitakiwa kujiandaa miaka2 iliyopita na kuweka mtu makini kwenye hiyo nafasi ya urais ambae hangegawa vyama
 
Back
Top Bottom