Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,160
- 1,359
Upinzani hata lile suala la kuachiana majimbo wakiona sehemu mpinzani wa chama tofauti na chao anakubalika zaidi,imeshindikana!Huwa hawafikiri mbali, walitakiwa kujiandaa miaka2 iliyopita na kuweka mtu makini kwenye hiyo nafasi ya urais ambae hangegawa vyama
Focus imekuwa katika urais ubunge na udiwani kama wamechukulia easy.