Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mwisho wa andiko langu nimesema.hivi SIBISHANIAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Unasahau kuwa wale wamechanjwa sio! Umesikia yanayotokea baada ya Eurocup kuisha?? Endelea kuropoka tuAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Kama Ulaya wanakusanyika bila hata barakoa, sasa ujinga gani uliowafanya mkazuia Kongamano la CHADEMA kwa madai ya Korona? young man stop contradicting yourselfAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
I love thisHakuna shida. Corona huwa anaambukiza kwenye mikusanyiko ya CHADEMA tu.
Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Amen, Amen ila kumbuka Mungu ametupa akili at least tuzitumieAlmanusra!! Kwa upendo na unyenyekevu naomba Mwenyezzi Mungu aepushe mbali janga hilo.... kwani viumbe wake hawa ni majahili na wanyonge God forbids
Waonacho hatari kwao ni makongamano yenye maelekezo ya kujikinga kikamilifu ya madai ya katiba ndio hatari kisa Katiba mpya inajadiliwa na ndio kitisho ila covid 19 wameikumbatia kwakuwa sii hatari kwao hata wanaiimarishia nakuihakikishia ulinzi.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Kama nakuonaAcha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Sawa huyo anazusha jipongeze kwa kutambua anayekutahadharisha anazusha.Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Mbona Dar nyomi ya Simba na Yanga hatukuona watu wakifa au ni Kigoma tu boss?Amen, Amen ila kumbuka Mungu ametupa akili at least tuzitumie
Hebu soma ulichoandika kwanza Hasa hio mistari mitatu ya mwisho. Nimekuwekea picha ili upunguze ujinga, hayo ni matakwimu ya CCMUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.