Patriarch
Senior Member
- May 21, 2021
- 174
- 228
Hii ya daladala. hua inanifanya no waze sana kuhusu hili gonjwa mtambukaUjinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.