Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Ili mjueKama hubishani uliandika ili iweje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili mjueKama hubishani uliandika ili iweje?
Walifanya hivyo kwakua aliyeitisha hilo kongamano aliwazuia watu wasihudhurie msiba wa kaka yake kwa kigezo cha UVIKO -19.Kama Ulaya wanakusanyika bila hata barakoa, sasa ujinga gani uliowafanya mkazuia Kongamano la CHADEMA kwa madai ya Korona? young man stop contradicting yourself
Wewe ndio mgonjwa kabisaWalifanya hivyo kwakua aliyeitisha hilo kongamano aliwazuia watu wasihudhurie msiba wa kaka yake kwa kigezo cha UVIKO -19.
Unazuiaje mkusanyiko nyumbani kwako, alafu hata kabla wiki haijaisha unakwenda kuitisha mkusanyiko kwenye mkoa wa watu?
Kiufupi unafiki wa huyo jamaa ndio umemponza.
Good meseji.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Kwa Mara ya kwanza umeweka ushabiki wa kisiasa kando! Asante, wewe utakua miongoni mwa wale CCM wachache sana ambao sometimes wanakua wanajitambua. BarikiwaGood meseji.
Haya endelea kulazimisha makalio yako yatafune muwa ilihali sio kazi yaliyoumbiwa.Wewe ndio mgonjwa kabisa
Ndio wale wajinga wa CCM niliosema! Na wewe ni mmoja waoHaya endelea kulazimisha makalio yako yatafune muwa ilihali sio kazi yaliyoumbiwa.
Haya kibweka wa CHADEMA.Ndio wale wajinga wa CCM niliosema! Na wewe ni mmoja wao
Mh!Kwa Mara ya kwanza umeweka ushabiki wa kisiasa kando! Asante, wewe utakua miongoni mwa wale CCM wachache sana ambao sometimes wanakua wanajitambua. Barikiwa
Mlisema hivyo baada ya kifo cha Magufuri,baada ya watu kukusanyika katika uwanja wa taifa,mkasema hivo Kilimarath on Arusha, wengine walisema baada ya msiba wa Magufuri watu wataanza kuokotwa barabarani akuna kilichotokea,Mbatia naye juzi katabiri, Wazungu nao walishaitabiria Tanzania, nawewe umekuwa miongoni mwao.Nyote mnaotabiri mabaya juu ya Nchi na wananchi Wake mtashindwa vibaya.Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Broo Leo tumezika mume na mke yaani mume alikufa jumatatu mke kafa jumanne........delta ipo na inauwa nimeshuhudia vifo vya hili wimbi ni Vingi na watu bado hawapo makini jihadharini serikali pazeni sauti kuokoa raiaTo be honest,haiingii akilini,maagizo yanayotolewa katika mikoa karibu yote yanasema mikusanyiko isiyo ya lazima ni marufuku,hapohapo mechi ya soka inaruhusiwa,tena ya maelfu ya watu,ambayo kupata mwakilishi imeshakuwa rahisi...kutafakari/ kutumia za kuzaliwa ni muhimu....
Uliko lalia ndiko niliko amkia Bro.Hebu soma ulichoandika kwanza Hasa hio mistari mitatu ya mwisho. Nimekuwekea picha ili upunguze ujinga, hayo ni matakwimu ya CCM
View attachment 1866713
View attachment 1866714
View attachment 1866715
Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Kirefu Cha cdo ninini?Siandiki kumkirefutisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Ki
Sibishani
Mimi mwenyewe mgeni piaKirefu Cha cdo ninini?
Tanzaniaaa eeeehhhhh nchi yangu...Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani