Kwa hali hii ya Kigoma, tujiandae kuzika

Kwa hali hii ya Kigoma, tujiandae kuzika

Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Soon utajuta kuandika ulichoandika sasa hivi.

Wakati ukitaabika ukumbuke hili....!
 
Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.

Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani

Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.

Sibishani
Unawahurumia Kigoma tu??? Robo ya watakaokua kwenye tukio hilo, wametoka Dar es salaam, unganisha na waliotoka mikoa mingine!! Wote tujiandae tu😤😤
 
Unawahurumia Kigoma tu??? Robo ya watakaokua kwenye tukio hilo, wametoka Dar es salaam, unganisha na waliotoka mikoa mingine!! Wote tujiandae tu😤😤
Sikua na maana hio, nilimaanisha mahali tukio linapotokea, otherwise you're very right
 
Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Duuuh!!
 
Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.

Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani

Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.

Sibishani
Na kirusi Cha Safari hi sio kile kilichokuwa kikiogopa matangawizi na malimao
 
Hivi nyie mnajua siasa au? Tangu wamzushie magufuli kafa na Corona ushasikia nani mwingine kafa na corona?

Hizi kelele zinazoendelea ni kutimiza masharti ya wazamini.
Ati magufuli alikufa na Corona mbona hakuna aliekufa kwenye familiya yake? Naona hii corona ilikuja kumchukua jpm tu na watu wake wa karibu.
 
Hivi nyie mnajua siasa au? Tangu wamzushie magufuli kafa na Corona ushasikia nani mwingine kafa na corona?

Hizi kelele zinazoendelea ni kutimiza masharti ya wazamini.
Ati magufuli alikufa na Corona mbona hakuna aliekufa kwenye familiya yake? Naona hii corona ilikuja kumchukua jpm tu na watu wake wa karibu.
Mchana mwema

IMG-20210724-WA0014.jpg


IMG-20210722-WA0030.jpg


IMG-20210723-WA0068.jpg


IMG-20210724-WA0015.jpg


IMG-20210724-WA0016.jpg


IMG-20210723-WA0001.jpg
 
Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa RPCs na RCs waliozuia mikusanyiko kwenye mikoa yapo na wale waliozuia makongamano ya CHADEMA ni wajinga wa mawazo? Au COVID19 inaambukishwa kwenye mikusanyiko inayohusisha chadema tu> Maana tumeona kinamwigulu nchemba, kina mabula wakifanya mikutano ya hadhara bila kusumbuliwa.
 
Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.

Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani

Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.

Sibishani
Naskia machame koona imechachamaa kwerikweri...
 
Walifanya hivyo kwakua aliyeitisha hilo kongamano aliwazuia watu wasihudhurie msiba wa kaka yake kwa kigezo cha UVIKO -19.

Unazuiaje mkusanyiko nyumbani kwako, alafu hata kabla wiki haijaisha unakwenda kuitisha mkusanyiko kwenye mkoa wa watu?

Kiufupi unafiki wa huyo jamaa ndio umemponza.
Mbowe ameshawaroga wafuasi wake wote na hawawezi tena kufikiri,yeye anawatumia kujipia mihela tu
 
Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Ulaya wamechanjwa mkuu,Uingereza pekee wamefikia asilimia 60 kupiga chanjo raia wake.Hata hivyo baada ya mashindano maambukiz yaliongezeka.
 
Back
Top Bottom