Tatizo vijana wanaibeba wanapelekea wazee nyumbaniCorona ipo na inaua....
Ila sio kila mtu na sio kwa kiwango mnachotaka tuamini, ukijijua umri umekwenda au afya yako tia maji maji epuka mikusanyiko kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo vijana wanaibeba wanapelekea wazee nyumbaniCorona ipo na inaua....
Ila sio kila mtu na sio kwa kiwango mnachotaka tuamini, ukijijua umri umekwenda au afya yako tia maji maji epuka mikusanyiko kabisa.
Soon utajuta kuandika ulichoandika sasa hivi.Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Unawahurumia Kigoma tu??? Robo ya watakaokua kwenye tukio hilo, wametoka Dar es salaam, unganisha na waliotoka mikoa mingine!! Wote tujiandae tu😤😤Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili timamu ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao kidogo walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Sikua na maana hio, nilimaanisha mahali tukio linapotokea, otherwise you're very rightUnawahurumia Kigoma tu??? Robo ya watakaokua kwenye tukio hilo, wametoka Dar es salaam, unganisha na waliotoka mikoa mingine!! Wote tujiandae tu😤😤
Ndio vijana wa ccm waliotumwa kupinga kila kituWagonjwa chini ya mi2, acha uongo wewe ikiwa waziri kashasema tunakimbilia buku huko
Duuuh!!Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Unabishana sana.Kama Ulaya wanakusanyika bila hata barakoa, sasa ujinga gani uliowafanya mkazuia Kongamano la CHADEMA kwa madai ya Korona? young man stop contradicting yourself
Na kirusi Cha Safari hi sio kile kilichokuwa kikiogopa matangawizi na malimaoSiandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
DahUnabishana sana.
Mchana mwemaHivi nyie mnajua siasa au? Tangu wamzushie magufuli kafa na Corona ushasikia nani mwingine kafa na corona?
Hizi kelele zinazoendelea ni kutimiza masharti ya wazamini.
Ati magufuli alikufa na Corona mbona hakuna aliekufa kwenye familiya yake? Naona hii corona ilikuja kumchukua jpm tu na watu wake wa karibu.
Mnatumia nguvu kubwa kutuaminisha wamekufa kwa corona kumbe ni mipango.ni mjinga tu aamini jpm kafa kwa corona
Mkuu ulitegemea kuwaona wanadondoka uwanjani?.Mbona Dar nyomi ya Simba na Yanga hatukuona watu wakifa au ni Kigoma tu boss?
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa RPCs na RCs waliozuia mikusanyiko kwenye mikoa yapo na wale waliozuia makongamano ya CHADEMA ni wajinga wa mawazo? Au COVID19 inaambukishwa kwenye mikusanyiko inayohusisha chadema tu> Maana tumeona kinamwigulu nchemba, kina mabula wakifanya mikutano ya hadhara bila kusumbuliwa.Ujinga wa mawazo.
Sie tunao tumia daladala tuna pumuliana visogoni,tulio sokoni ,makanisani na misikitini,
Ferry kwny ma boat na mabasi ya mikoani.treni n.k
Jeshini,Shuleni,vyuoni.
Bado nch nzima ina wagonjwa chini ya 200.
Nabaki nacheka tu huyu anaezusha ugonjwa kuepo,anatuchekesha sana.
Ha ha ha haUnajiandaa kuzika badala ya kusema nawewe ujiandae kuzikwa?
Wewe unadhani corona inakuogopa?
Wajiandae na wewe ukiwamo.
Naskia machame koona imechachamaa kwerikweri...Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo.
Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo kuudhibiti Upinzani
Kwa hali ya Kigoma, wala hakuna haja ya kusali wala kuomba, tujiandae tu kuzika au kusafirisha in coming few days.
Sibishani
Mbowe ameshawaroga wafuasi wake wote na hawawezi tena kufikiri,yeye anawatumia kujipia mihela tuWalifanya hivyo kwakua aliyeitisha hilo kongamano aliwazuia watu wasihudhurie msiba wa kaka yake kwa kigezo cha UVIKO -19.
Unazuiaje mkusanyiko nyumbani kwako, alafu hata kabla wiki haijaisha unakwenda kuitisha mkusanyiko kwenye mkoa wa watu?
Kiufupi unafiki wa huyo jamaa ndio umemponza.
Almanusra!! Kwa upendo na unyenyekevu naomba Mwenyezzi Mungu aepushe mbali janga hilo.... kwani viumbe wake hawa ni majahili na wanyonge God forbids
Ulaya wamechanjwa mkuu,Uingereza pekee wamefikia asilimia 60 kupiga chanjo raia wake.Hata hivyo baada ya mashindano maambukiz yaliongezeka.Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukariri
Uliza Charles Mbowe yuko wapiHakuna shida huko kwingine. Corona huwa anaambukiza kwenye mikusanyiko ya CHADEMA tu.