Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Tumekusikia,lakini umesahau kulog off.Na bado,waendelee kunyooshwa ndio wataacha kuishobokea US Gay na kuangalia ya kwao
Z
Ahsante sana kwa ukumbusho 😂😂😂Tumekusikia,lakini umesahau kulog off.
Source?Ujerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao.
Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea makampuni yanayosambaza nishati yakituma jumbe kwa wateja wao kuwataarifu gharama za nishati husika kupanda bei kila baada ya muda usiopungua lisaa.
Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
Na iwe hivyoUjerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao.
Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea makampuni yanayosambaza nishati yakituma jumbe kwa wateja wao kuwataarifu gharama za nishati husika kupanda bei kila baada ya muda usiopungua lisaa.
Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
Siyo tu Germany, hayo mataifa yote yenye nguvu yamesha mshindwa mRusi, yaani wanamchangia kupitia ardhi ya Ukraine lakini bado jamaa kadindaUjerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao.
Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea makampuni yanayosambaza nishati yakituma jumbe kwa wateja wao kuwataarifu gharama za nishati husika kupanda bei kila baada ya muda usiopungua lisaa.
Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
Mkuu, kuna nchi (Ufaransa) imeshaomba poo tayari kwa kutuma proposal kwa Urusi kupitia nchi ya Iran ili vita ya Ukraine vs Urusi isitishwe na kumalizwa kabisa.Kwa kifupi ujerumani haikupenda toka mwanzo kujitenga Urusi.
Ujerumani hua Ina mahusiano mazuri na Urusi siku zote,hata ufaransa.
Tatizo ni Umarekani na uingereza na huo umoja wao wa Uropa..
Ujerumani na Urusi zilikua na biashara nzuri tu ya gesi kupitia Nordsteam2,kwa hiyo kwake vikwazo aliviona kama ni uchawi TU.
Kujitegemea kwa gesi na mafuta hilo wasahau,,,,ikumbukwe pia wanamtegemea kwa mbolea na nafaka(mazao)Juzi alisema ana stock ya kutosha sasa analia nini, Ulaya hadi kujitegemea itachukua miaka na gesi kidogo ambayo walikuwa wananunua Ukraine sasa inamilikiwa na Russia yaani hadi waombe poo[emoji16][emoji16][emoji16]
Mi nipo Germany, hiyo Ni kweli asemacho mleta madaSource?
Wapo kwa kudumu (they there to stay🤭🤭🤭Kujitegemea kwa gesi na mafuta hilo wasahau,,,,ikumbukwe pia wanamtegemea kwa mbolea na nafaka(mazao)