political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Germany mpaka imefika apo ilipo kuwa na uchumi mkubwa ulaya nzima ni kwasababu ya cheap energy anayoipata kutoka Russia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanapitia mateso sanaJuzi alisema ana stock ya kutosha sasa analia nini, Ulaya hadi kujitegemea itachukua miaka na gesi kidogo ambayo walikuwa wananunua Ukraine sasa inamilikiwa na Russia yaani hadi waombe poo[emoji16][emoji16][emoji16]
Sahii kabisaGermany mpaka imefika apo ilipo kuwa na uchumi mkubwa ulaya nzima ni kwasababu ya cheap energy anayoipata kutoka Russia
Kumbeee 😆Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
sorry kusema kuwa huna akili nzur baba , Marekani ndio karithishwa huo ugomvi , nchi za Ulaya hazikuwa kupatana na Urusi nje ya maslai , na hiyo ndo sabab hata Urusi kuiuza Alaska kwa Marekan akiwahofia Ulaya , Marekam kaja kubebeshwa tu huo ugomvi nyuma huko Mgogoro ulikuwa kati ya Mabeberu wa kwel yaan wazungu wa Ulaya vs Wajamaa Urusi , so Marekan inapata Uhuru inabeneshwa ugomviKwa kifupi ujerumani haikupenda toka mwanzo kujitenga Urusi.
Ujerumani hua Ina mahusiano mazuri na Urusi siku zote,hata ufaransa.
Tatizo ni Umarekani na uingereza na huo umoja wao wa Uropa..
Ujerumani na Urusi zilikua na biashara nzuri tu ya gesi kupitia Nordsteam2,kwa hiyo kwake vikwazo aliviona kama ni uchawi TU.
kwan Macron hakuwai kwenda Moscow kumuhasa Urusi asiivamie UkraineMkuu, kuna nchi (Ufaransa) imeshaomba poo tayari kwa kutuma proposal kwa Urusi kupitia nchi ya Iran ili vita ya Ukraine vs Urusi isitishwe na kumalizwa kabisa.
kabla ya 1990 waliishije kwan ?Kujitegemea kwa gesi na mafuta hilo wasahau,,,,ikumbukwe pia wanamtegemea kwa mbolea na nafaka(mazao)
Ujeruman ya buza auMi nipo Germany, hiyo Ni kweli asemacho mleta mada
na enz za Hitler walifiake kuipiga Ulaya plus huyo Urusi wenuGermany mpaka imefika apo ilipo kuwa na uchumi mkubwa ulaya nzima ni kwasababu ya cheap energy anayoipata kutoka Russia
kwanini unasema hivyo bibie?Ujeruman ya buza au
Trust me brooSource?
Hapa ndipo tutaona nationality ya watu vs wanaounga mkono Wayahudi feki wakipewa nguvu na marekaniUjerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao.
Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea makampuni yanayosambaza nishati yakituma jumbe kwa wateja wao kuwataarifu gharama za nishati husika kupanda bei kila baada ya muda usiopungua lisaa.
Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
Magufuli: Vita ya Uchumi ni mbayaView attachment 2344151
Na bado .....
Germany mpaka imefika apo ilipo kuwa na uchumi mkubwa ulaya nzima ni kwasababu ya cheap energy anayoipata kutoka Russia
Kujitegemea kwa gesi na mafuta hilo wasahau,,,,ikumbukwe pia wanamtegemea kwa mbolea na nafaka(mazao)
Pamoja sanaAhsante sana kwa ukumbusho [emoji23][emoji23][emoji23]
Nalog off Z
Dah!Mkuu, kuna nchi (Ufaransa) imeshaomba poo tayari kwa kutuma proposal kwa Urusi kupitia nchi ya Iran ili vita ya Ukraine vs Urusi isitishwe na kumalizwa kabisa.
sorry kusema kuwa huna akili nzur baba , Marekani ndio karithishwa huo ugomvi , nchi za Ulaya hazikuwa kupatana na Urusi nje ya maslai , na hiyo ndo sabab hata Urusi kuiuza Alaska kwa Marekan akiwahofia Ulaya , Marekam kaja kubebeshwa tu huo ugomvi nyuma huko Mgogoro ulikuwa kati ya Mabeberu wa kwel yaan wazungu wa Ulaya vs Wajamaa Urusi , so Marekan inapata Uhuru inabeneshwa ugomvi
Sawa,Asante pia kwa kashfa zako.