Kwa hali inavyoendelea ni vigumu mno kwa Ujerumani kuendelea kuiwekea vikwazo Urusi

Kwa hali inavyoendelea ni vigumu mno kwa Ujerumani kuendelea kuiwekea vikwazo Urusi

Juzi alisema ana stock ya kutosha sasa analia nini, Ulaya hadi kujitegemea itachukua miaka na gesi kidogo ambayo walikuwa wananunua Ukraine sasa inamilikiwa na Russia yaani hadi waombe poo[emoji16][emoji16][emoji16]
Hawa jamaa wanapitia mateso sana
 
Kwa kifupi ujerumani haikupenda toka mwanzo kujitenga Urusi.
Ujerumani hua Ina mahusiano mazuri na Urusi siku zote,hata ufaransa.
Tatizo ni Umarekani na uingereza na huo umoja wao wa Uropa..
Ujerumani na Urusi zilikua na biashara nzuri tu ya gesi kupitia Nordsteam2,kwa hiyo kwake vikwazo aliviona kama ni uchawi TU.
sorry kusema kuwa huna akili nzur baba , Marekani ndio karithishwa huo ugomvi , nchi za Ulaya hazikuwa kupatana na Urusi nje ya maslai , na hiyo ndo sabab hata Urusi kuiuza Alaska kwa Marekan akiwahofia Ulaya , Marekam kaja kubebeshwa tu huo ugomvi nyuma huko Mgogoro ulikuwa kati ya Mabeberu wa kwel yaan wazungu wa Ulaya vs Wajamaa Urusi , so Marekan inapata Uhuru inabeneshwa ugomvi
 
Mkuu, kuna nchi (Ufaransa) imeshaomba poo tayari kwa kutuma proposal kwa Urusi kupitia nchi ya Iran ili vita ya Ukraine vs Urusi isitishwe na kumalizwa kabisa.
kwan Macron hakuwai kwenda Moscow kumuhasa Urusi asiivamie Ukraine
 
Ujerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao.

Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea makampuni yanayosambaza nishati yakituma jumbe kwa wateja wao kuwataarifu gharama za nishati husika kupanda bei kila baada ya muda usiopungua lisaa.

Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
Hapa ndipo tutaona nationality ya watu vs wanaounga mkono Wayahudi feki wakipewa nguvu na marekani
 
Kujitegemea kwa gesi na mafuta hilo wasahau,,,,ikumbukwe pia wanamtegemea kwa mbolea na nafaka(mazao)

Cha ajabu Merikani inaendelea kununua mbolea kutoka Urusi nadhani na Uranium - lakini Mataifa mngine yakitaka kufanya biashara na Urusi wanawekewa pini na Amerika - taifa la hawa jamaa ni wabinafsi sana sana.
 
Ahsante sana kwa ukumbusho [emoji23][emoji23][emoji23]
Nalog off Z
Pamoja sana
Tunalog off Z

Udhamini Udhamini muhimu wakati Mrusi akipelekewa Moto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
sorry kusema kuwa huna akili nzur baba , Marekani ndio karithishwa huo ugomvi , nchi za Ulaya hazikuwa kupatana na Urusi nje ya maslai , na hiyo ndo sabab hata Urusi kuiuza Alaska kwa Marekan akiwahofia Ulaya , Marekam kaja kubebeshwa tu huo ugomvi nyuma huko Mgogoro ulikuwa kati ya Mabeberu wa kwel yaan wazungu wa Ulaya vs Wajamaa Urusi , so Marekan inapata Uhuru inabeneshwa ugomvi



Sawa,Asante pia kwa kashfa zako.
 
Back
Top Bottom