Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka Serikali iliyopo iangushwe kama ya Boris mleviUjerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao.
Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea makampuni yanayosambaza nishati yakituma jumbe kwa wateja wao kuwataarifu gharama za nishati husika kupanda bei kila baada ya muda usiopungua lisaa.
Natabiri Ujerumani hatoboi Oktoba
Yeye mwenyeweSource?
Hawa jamaa wanapitia mateso sana
Magufuli: Vita ya Uchumi ni mbaya
Kuijua Vita ya Uchumi siyo lazima uwe mchumiMagufuli hajui uchumi tena ukiendelea kumnukuu unajishusha hadhi yako.
Kahamisha biashara nyingi sana kwasababu ya ujinga.Kuijua Vita ya Uchumi siyo lazima uwe mchumi
Hakuna mfanyabiashara wa maana aliyehama wakati wa shujaaKahamisha biashara nyingi sana kwasababu ya ujinga.
🤣🤣🤣 Ngoja nishuke page za chinj nione jibu lake dhidi ya ulichomuuza.Uongo,
Mbona Russia yenyewe haijawa na huo uchumi mkubwa.
Mtu akikuita tahira utamuona ni mbaya.Hakuna mfanyabiashara wa maana aliyehama wakati wa shujaa
Wewe ndio taahira ambaye humuoni Bakhresa na Seif wa Super Doll walivyopiga hatua kubwa awamu ya 5Mtu akikuita tahira utamuona ni mbaya.
Cha ajabu Merikani inaendelea kununua mbolea kutoka Urusi nadhani na Uranium - lakini Mataifa mngine yakitaka kufanya biashara na Urusi wanawekewa pini na Amerika - taifa la hawa jamaa ni wabinafsi sana sana.
Unafahamu kwamba marekani nimoja ya wazalishaji wakubwa wa mbolea toka RUSSIA licha ya kwamba anatoa kipondo kwa kibaraka waoUnafahamu kwamba Marekani na Canada ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa mbolea duniani??
Au unabwabwaja tu?
Unafahamu kwamba Marekani na Canada ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa mbolea duniani??
Au unabwabwaja tu?