Una matatizo binafsi ya uchawa yamekupofusha machokama taifa tuko vizuri wamoja, na tunaelekea pazuria zaidi kwa kasi na viwango...
usalama wa mipaka, watu, mali na makazi yao ni madhubuti,
hakuna kitisho cha kiusalama kutoka ndani au nje ya nchi...
umoja, amani na utulivu wa waTanzania ni wa uhakika chini ya kiongozi, rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan
Haya ni mawazo ya kipuuzi sana na zaidi ni ya watu wenye umri kama wako.Suppose ni kweli CCM iondoke, aje nani kwa mfano tuu, baada ya CCM kuondoshwa?.
P
Acheni uchaguzi huru muone.Mabadiliko yataanzia ndani ya Ccm na si vinginevyo
Upinzani hauko serious kabisaAcheni uchaguzi huru muone.
Moja ya sifa yangu kubwa humu jf ninayojivunia ni being a realist, yaani kuwa mkweli daima toka ndani ya nafsi yangu, kwa upinzani legelege na nyoronyoro uliopo, bado hakuna chama cha kui check out CCM kwa huku bara!. Serikali za Mitaa ni CCM na uchaguzi mkuu wa mwakani ni CCM!.Haya ni mawazo ya kipuuzi sana na zaidi ni ya watu wenye umri kama wako.
Yes hili la watu ni kweli wapo na hata mgombea tarajiwa wa mserereko, pia tumemshauri kama sauti hii HII ni kweli.Chama kingine hamna ila mtu mwingine anaeweza kutuongoza vizuri yupo na wapo wengi tu
Bado ipo vizuri maana Mama anaupiga mwingi.Nchi yetu tangu 1960 baada ya wakoloni kutuachia nchi yetu kulikuwa na vitu vinaitwa miiko!! Kulikuwa na tamaduni zetu na haki ya watu kuishi kulingana na tamaduni zao!! Seke seke la Wamasai Ngorongoro linasikitisha sana! Hata kama mnagogoro na wao ndio muondoe huduma za afya na madawa yasipelekwe? Hata kama ndio tunatafuta maendeleo au fedha za hisani ndio tuzibe masikio?
Wamasai wameomba kusikia angalau hata neno au tamko la utawala ndio kwanza naona vikosi vya FFU vinaingia mbugani na tangazo la kuvifuta kanisa vijiji vyote!! Wamasai ni sawa na samaki ameumbwa kwa asili ya kuishi majini huwezi kumtoa na kumpeleka nchi kavu ukidhani unamsaidia!! Mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani?
Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza, sio tu kiburi na dharau pia!! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu!? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo!! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa.
Shida si yale mambo ya Nape kuwa inategemea nani anatangaza?Moja ya sifa yangu kubwa humu jf ninayojivunia ni being a realist, yaani kuwa mkweli daima toka ndani ya nafsi yangu, kwa upinzani legelege na nyoronyoro uliopo, bado hakuna chama cha kui check out CCM kwa huku bara!. Serikali za Mitaa ni CCM na uchaguzi mkuu wa mwakani ni CCM!.
Wapinzani tumeisha washauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!
Wapinzani labda 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Yes ni part and parcel ya CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! na CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?Shida si yale mambo ya Nape kuwa inategemea nani anatangaza?
Kati ya mataifa ya kiarabu dhidi ya america kupitia kenya!!?coz masai wapo pote pote au !!?Wamasai wa ngorongoro ni vita ya kijasusi ambayo ina itesa serikali. Wengi mwaweza msinielewe.
Kulinda mazingira msitumie kama kivuli cha kufanya upumbavu wenu si juzi wanasema hata Mbuga za wanyama zianze kuchimbwa madini unajua impact yake kwenye mazingira ukikubali kuchimba madini kwenye mbuga za wanyamaWawe wamaasai wawe wamakonde ama wowote wale bado hoja za kulinda mazingira hazipotezewi mashiko yake....
Ngororongo ni turathi ya dunia...
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app