Kwa Hali inayoendelea nashawika kusema 2025 CCM iondoke madarakani au utawala ubadilishwe!

Kwa Hali inayoendelea nashawika kusema 2025 CCM iondoke madarakani au utawala ubadilishwe!

kama taifa tuko vizuri wamoja, na tunaelekea pazuria zaidi kwa kasi na viwango...

usalama wa mipaka, watu, mali na makazi yao ni madhubuti,

hakuna kitisho cha kiusalama kutoka ndani au nje ya nchi...

umoja, amani na utulivu wa waTanzania ni wa uhakika chini ya kiongozi, rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan :BASED:
Una matatizo binafsi ya uchawa yamekupofusha macho
 
Haya ni mawazo ya kipuuzi sana na zaidi ni ya watu wenye umri kama wako.
Moja ya sifa yangu kubwa humu jf ninayojivunia ni being a realist, yaani kuwa mkweli daima toka ndani ya nafsi yangu, kwa upinzani legelege na nyoronyoro uliopo, bado hakuna chama cha kui check out CCM kwa huku bara!. Serikali za Mitaa ni CCM na uchaguzi mkuu wa mwakani ni CCM!.

Wapinzani tumeisha washauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Wapinzani labda 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
 
Nchi yetu tangu 1960 baada ya wakoloni kutuachia nchi yetu kulikuwa na vitu vinaitwa miiko!! Kulikuwa na tamaduni zetu na haki ya watu kuishi kulingana na tamaduni zao!! Seke seke la Wamasai Ngorongoro linasikitisha sana! Hata kama mnagogoro na wao ndio muondoe huduma za afya na madawa yasipelekwe? Hata kama ndio tunatafuta maendeleo au fedha za hisani ndio tuzibe masikio?

Wamasai wameomba kusikia angalau hata neno au tamko la utawala ndio kwanza naona vikosi vya FFU vinaingia mbugani na tangazo la kuvifuta kanisa vijiji vyote!! Wamasai ni sawa na samaki ameumbwa kwa asili ya kuishi majini huwezi kumtoa na kumpeleka nchi kavu ukidhani unamsaidia!! Mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani?

Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza, sio tu kiburi na dharau pia!! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu!? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo!! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa.
Bado ipo vizuri maana Mama anaupiga mwingi.
 
Moja ya sifa yangu kubwa humu jf ninayojivunia ni being a realist, yaani kuwa mkweli daima toka ndani ya nafsi yangu, kwa upinzani legelege na nyoronyoro uliopo, bado hakuna chama cha kui check out CCM kwa huku bara!. Serikali za Mitaa ni CCM na uchaguzi mkuu wa mwakani ni CCM!.

Wapinzani tumeisha washauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Wapinzani labda 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Shida si yale mambo ya Nape kuwa inategemea nani anatangaza?
 
Wawe wamaasai wawe wamakonde ama wowote wale bado hoja za kulinda mazingira hazipotezewi mashiko yake....

Ngororongo ni turathi ya dunia...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kulinda mazingira msitumie kama kivuli cha kufanya upumbavu wenu si juzi wanasema hata Mbuga za wanyama zianze kuchimbwa madini unajua impact yake kwenye mazingira ukikubali kuchimba madini kwenye mbuga za wanyama
 
Back
Top Bottom