Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hapà haters ni nani na nina hate nini?.Haters na vikoment vyenu
Nawa hate wamasai?
Nai hate serikali?
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapà haters ni nani na nina hate nini?.Haters na vikoment vyenu
Mkuu TumainiEl tunaokuelewa tupo na tunakuheshimu na kukuzingatia sana!, hivyo keep it up, japo madogo humu ni wengi na hawakujui, wewe endeleza doing the good job you're doing humu na kwa taifa lako.Wamasai wa ngorongoro ni vita ya kijasusi ambayo ina itesa serikali. Wengi mwaweza msinielewe.
Unakomplicate sana mambo!Wamasai wa ngorongoro ni vita ya kijasusi ambayo ina itesa serikali. Wengi mwaweza msinielewe.
CCM ndio tatizo kwanini watanzania hatuelewi?!Nchi yetu tangu 1960 baada ya wakoloni kutuachia nchi yetu kulikuwa na vitu vinaitwa miiko!! Kulikuwa na tamaduni zetu na haki ya watu kuishi kulingana na tamaduni zao!! Seke seke la Wamasai Ngorongoro linasikitisha sana! Hata kama mnagogoro na wao ndio muondoe huduma za afya na madawa yasipelekwe? Hata kama ndio tunatafuta maendeleo au fedha za hisani ndio tuzibe masikio?
Wamasai wameomba kusikia angalau hata neno au tamko la utawala ndio kwanza naona vikosi vya FFU vinaingia mbugani na tangazo la kuvifuta kanisa vijiji vyote!! Wamasai ni sawa na samaki ameumbwa kwa asili ya kuishi majini huwezi kumtoa na kumpeleka nchi kavu ukidhani unamsaidia!! Mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani?
Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza, sio tu kiburi na dharau pia!! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu!? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo!! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa.
Mkongwe aje yoyote bora CCM ipishe maana imemea mizizi haiheshimu tena misingi ya haki wala wananchi inaowaongoza inatumia ndivyo sivyo mihimili mingine (abuse) kwa manufaa yake na wanachama wake badala ya nchi kwao ni chama kwanza nchi baadae kwao wao ni chama dola kimeshajisahau matakwa ya wananchi sio kipaumbele tena kwao.Suppose ni kweli CCM iondoke, aje nani kwa mfano tuu, baada ya CCM kuondoshwa?.
P
Tanzania ina watu zaidi ya milioni 60. Haiwezekani kushindwa kuwapata watu hata zaidi ya milioni 1 walio bora kuliko yeye.Suppose ni kweli CCM iondoke, aje nani kwa mfano tuu, baada ya CCM kuondoshwa?.
P
Utajua mwenyewe PaulHapà haters ni nani na nina hate nini?.
Nawa hate wamasai?
Nai hate serikali?
P
Siasa ni sayansi, ili CCM iweze kupisha, ni lazima kwanza pawepo mbadala wa kuireplace CCM!, it's very unfortunately Tanzania hatuna mbadala huyo, as a result ni CCM and CCM only, the one and only!.Mkongwe aje yoyote bora CCM ipishe maana imemea mizizi haiheshimu tena misingi ya haki wala wananchi inaowaongoza inatumia ndivyo sivyo mihimili mingine (abuse) kwa manufaa yake na wanachama wake badala ya nchi kwao ni chama kwanza nchi baadae kwao wao ni chama dola kimeshajisahau matakwa ya wananchi sio kipaumbele tena kwao.
Sawa mkongwe na kada mtiifu kwa maana hiyo tutaendelea kuwa nayo tutake tusitake mbona mnaipeleka nchi kusiko watu wakichoka hawatasikiliza tena sijui kisiwa cha amani mara uzalendo tena hiki kizazi cha sasa cha kuhoji kila kitu .Siasa ni sayansi, ili CCM iweze kupisha, ni lazima kwanza pawepo mbadala wa kuireplace CCM!, it's very unfortunately Tanzania hatuna mbadala huyo, as a result ni CCM and CCM only, the one and only!.
Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?!
- Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali?
-
P
anakuja mtanganyikaAkiondoka, aje nani kwenye nafasi yake?
P
Penye uzia penyeza rupia, watatulizwa kwa kupoozwa!, watatulia...Sawa mkongwe na kada mtiifu kwa maana hiyo tutaendelea kuwa nayo tutake tusitake mbona mnaipeleka nchi kusiko watu wakichoka hawatasikiliza tena sijui kisiwa cha amani mara uzalendo tena hiki kizazi cha sasa cha kuhoji kila kitu .
Sawa mkongwe na kada mtiifu lakini lazima nchi yetu ionewe huruma imetafunwa sana na bado inaendelea kwa hayo mambo ya rupia wengi wako kwenye lindi la umasikini licha ya uwepo wa kila aina ya malighafi katika ardhi yetu tena ardhi yenye rutuba ya hali ya juu, tazama mikataba ya KiMangungo tena hatuna budi kuomba radhi ukoo wa Mangungo maana zama zao elimu ilikuwa haijawafikia lakini tazama hawa walioelimika sasa bure kabisa wanauza nchi.Penye uzia penyeza rupia, watatulizwa kwa kupoozwa!, watatulia...
Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
P